What is the purpose of mariage???.....

Eiyer ndoa ni zaidi ya sex mydia wanaosema hivyo nadhani huwa wanasema kwa hacra ya kunyimwa hiyo sex ambapo hatua hii hufikiwa baada ya mambo mmengi ya kindoa kuharibika. Ndoa ni kushare sehemu ya maisha yako yaliyobaki na mtu umpendaye, mtu anayekufanya ujisikie furaha pale uwapo na hacra; anayekufariji upatwapo na huzuni; anayekujali uwapo na uhitaji; anayekuliwaza uhitajipo liwazo; mtu ambaye yuko tayari/uko tayari kufanya mambo mengi naye ikiwemo kuchangia katika kutengeneza viumbe wa kuijaza dunia; uzao utakaobeba alama ya muunganiko wenu ninyi wawili. Mengineyo hutokea kwa bahati mbaya.

Sex unaezaipata hata nje ya ndoa mf. kama ni mwanaume anayehitaji sex tu ili aoe si anawezanunua kwa dada poaz? kama ni mwanamke anayetaka aolewe ili apate sex, si awezafungua tu biashara?

Kufuata mkumbo yesi kuna wanaooa/olewa kwa kuwa tu flani kaoa/lewa au marafiki zangu wote wameoa/olewa but mara nyingi za aina hii zinaweza zisifike popote
Nimeipenda hii, umekokotoa vizuri kabisa
 
Nimeipenda hii, umekokotoa vizuri kabisa
<br />
<br />
Majibu yanakinzana,hakuna ambae amesema hasa purpose ya ndoa nini!Hata wenye ndoa wenyewe wanakosa majibu hii ni hatari sana!
 
<br />
<br />
Majibu yanakinzana,hakuna ambae amesema hasa purpose ya ndoa nini!Hata wenye ndoa wenyewe wanakosa majibu hii ni hatari sana!
so hamna purpose sio? sasa waliingia kwenye ndoa kwanini? au walitaka kuuza sura siku ya harusi?
 
<font color="#ff0000">so hamna purpose sio? sasa waliingia kwenye ndoa kwanini? au walitaka kuuza sura siku ya harusi?</font>
<br />
<br />
Hiyo nafikiri ndo itakua sababu,ndo maana sina mpango wa hiyo kitu wala kujihusisha na mapenzi!Ni ujinga kufanya kitu bila purpose!
 
<br />
<br />
Hiyo nafikiri ndo itakua sababu,ndo maana sina mpango wa hiyo kitu wala kujihusisha na mapenzi!Ni ujinga kufanya kitu bila purpose!
umeona eeh na ndo maana wazinzi wengi ni watu wenye ndoa yaani nadhani kwao ndoa ni cheti tu hawajui hata kwanini walioana
 
<font color="#ff0000">umeona eeh na ndo maana wazinzi wengi ni watu wenye ndoa yaani nadhani kwao ndoa ni cheti tu hawajui hata kwanini walioana</font>
<br />
<br />
Yes!Pamoja na wanaoibiana hela,wanalogana na kufa ili mmoja abakie arithi mali,nyumba ndogo kila kona ya mtaa!Suala la kuoa au mapenzi kwangu ni gumu!
 
Before the marriage:
· He: Yes. At last. It was so hard to wait.
· She: Do you want me to leave?
· He: NO! Don't even think about it.
· She: Do you love me?
· He: Of course!
· She: Have you ever cheated on me?
· He: NO! Why you even asking?
· She: Will you kiss me?
· He: Yes!
· She: Will you hit me?
· He: No way! I'm not such kind of person!
· She: Can I trust you?
Now after the marriage you can read it from bottom to the top!

View attachment 35066


Wewe Mam wewe umeniogopesha hiyo " after marriage"
 
<br />
<br />
Yes!Pamoja na wanaoibiana hela,wanalogana na kufa ili mmoja abakie arithi mali,nyumba ndogo kila kona ya mtaa!Suala la kuoa au mapenzi kwangu ni gumu!
yaani wapo tu maana kama ni watoto unaeza kuzaa hata kama hujaoa wala kuolewa kusex unaeza pia kila kitu kiko available sasa iyo special case mbona hawatuambii wana ndoa wa jf au nao ni wazinzi walewale
 
<font color="#ff0000">yaani wapo tu maana kama ni watoto unaeza kuzaa hata kama hujaoa wala kuolewa kusex unaeza pia kila kitu kiko available sasa iyo special case mbona hawatuambii wana ndoa wa jf au nao ni wazinzi walewale</font>
<br />
<br />
Yes,kama unaweza kupata maziwa bila ya kufuga ng'ombe ya nini ufuge?Pia kama unakosa hoja ya kutetea jambo unalofanya huna sababu ya kuendelea kulifanya!
 
Pamoja na jibu zuri la m'one..ndoa ni mpango wa Mungu..Watakuwa mwili mmoja..hapa tunaona ukisisitizwa ushirika mtakatifu..yaani watamwabudu Mungu,watazaa watoto,watajenga uchumi wao na jamii pia..Mungu ni wa 'utaratibu' na ktk huo atatuhukumu..hivyo ndoa ni takatifu na iheshimiwe na watu wote..eiyer wewe ni mdadisi..ubarikiwe!
 
Pamoja na jibu zuri la m'one..ndoa ni mpango wa Mungu..Watakuwa mwili mmoja..hapa tunaona ukisisitizwa ushirika mtakatifu..yaani watamwabudu Mungu,watazaa watoto,watajenga uchumi wao na jamii pia..Mungu ni wa 'utaratibu' na ktk huo atatuhukumu..hivyo ndoa ni takatifu na iheshimiwe na watu wote..eiyer wewe ni mdadisi..ubarikiwe!
<br />
<br />
Be blessed too!
 
Back
Top Bottom