Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 86
here is the situation...Nimezaliwa nikabatiza then nikafanya mafundisho ya Kipaimara for 2 years na ninapokea sacrament (chakula cha bwana)...then nikaenda mskitini nikaenda kutawazwa na nikaanza kuswali kila ijumaa....Mind you sijabadilisha jina bado jina langu ni Kelly01....so what is the probability here....je mimi ni mkiristo au mimi ni muislam?......maana kanisani nakwenda msikitini nakwenda......
alafu msianze kusema hii topic ya kidini hapa nauliza swali kama huna hoja anza mbele.....
I love you though i could be sturbon like that.....
xoxo
alafu msianze kusema hii topic ya kidini hapa nauliza swali kama huna hoja anza mbele.....
I love you though i could be sturbon like that.....
xoxo