de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,090
- 21,986
He's a true definion of walking your purpose... He indeed is
Kuna watu wa wamekuja duniani ku accomplish jambo fulani mpka lliitimie, mfano wakina Gandi, kina mother Teresa, kina, Tupac Shakur...
Thse people risked their own very lives kwa ajili ya kuacha alama.
Him, too.... Maana imagine someone coming out of 16 bullets? In fact alipaswa kuwa tayari awe kafa kabisa, kuna mtu anakula bullet moja tu, then imeisha hiyo. But God saved him, then after salvation bado karudi na moto ule ule, without fear... Can you imagine how powerful of a person that is? Wengine huenda angejemga trauma na akaishia kufa kwa magonjwa nyemelezi, ila jamaa ka turn pain into power, yaani hapo tayari kashashinda katika ulimwengu wa giza. He's truly a winner.
Hakuna legend ambae atakuja kuimbwa kama huyu jamaa, he's truly a walking legend. To this point hata kama akishindwa kesi or what, he's a winner to the hearts of millions. He's truly one of a kind. Hakuna anayetamani hata kunusa kile alichopitia, and y'all out here enjoying the show.
Ndo maana wanaume wanaojielewa wanaachia ngazi, how come jina lako like lihusishwe kwenye wale walopigana kisiasa na huyu mwamba? Kama mwanaume lazima ujue how bad it is going to ruin your reputation. Ndo maana wanajitoa kabisa coz it ain't worth it.
Mimi sio mfatiliaji wa siasa ila, I can't hold to say that, this man Lissu, is a warrior.
Kuna watu wa wamekuja duniani ku accomplish jambo fulani mpka lliitimie, mfano wakina Gandi, kina mother Teresa, kina, Tupac Shakur...
Thse people risked their own very lives kwa ajili ya kuacha alama.
Him, too.... Maana imagine someone coming out of 16 bullets? In fact alipaswa kuwa tayari awe kafa kabisa, kuna mtu anakula bullet moja tu, then imeisha hiyo. But God saved him, then after salvation bado karudi na moto ule ule, without fear... Can you imagine how powerful of a person that is? Wengine huenda angejemga trauma na akaishia kufa kwa magonjwa nyemelezi, ila jamaa ka turn pain into power, yaani hapo tayari kashashinda katika ulimwengu wa giza. He's truly a winner.
Hakuna legend ambae atakuja kuimbwa kama huyu jamaa, he's truly a walking legend. To this point hata kama akishindwa kesi or what, he's a winner to the hearts of millions. He's truly one of a kind. Hakuna anayetamani hata kunusa kile alichopitia, and y'all out here enjoying the show.
Ndo maana wanaume wanaojielewa wanaachia ngazi, how come jina lako like lihusishwe kwenye wale walopigana kisiasa na huyu mwamba? Kama mwanaume lazima ujue how bad it is going to ruin your reputation. Ndo maana wanajitoa kabisa coz it ain't worth it.
Mimi sio mfatiliaji wa siasa ila, I can't hold to say that, this man Lissu, is a warrior.