Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
hahahahaha DC!....OK mwambie jibu lake kuwa i am very engaged!>...na mmasai wangu
Naamini ameona.
Ila kwa madume wengi (tena wabongo) wanaamini engagement zinavunjwa tu kutegemea na scud za mtu!! Yetu macho, ngoja tusubiri. Ila akija kwa PM ukumbuke angalau kutumegea kidogo. Si unaona mwenyewe jinsi tunavyotoa ushauri, labda siku moja twaweza itwa kuwa mashuhuda wa deal zenyewe!