Bila shaka mtoa mada atakuwa ametumwa na yule shangingi ,fisadi muuza viwanja,mpenda dogodogo janet lite ,hana anachokijua zaidi yakuuza viwanja bunju kule,hata huo udiwani wa bunju aliupata kupitia mgongo wa mh mdee.
Nilikuwa najiuliza kwanini slaa hajamfukuza mpaka leo ,licha ya shutuma zake za uuzaji wa viwanja kuwa wazi ,nikaja kujua kumbe ni rafiki mkubwa wa mshumbusi,na ndie anaemshauri namna yakufanya dili za kuuza viwanja,na huwa anamkatia kidogo.
Na ndio maana slaa anamchukia mh mdee kwani mdee amekuwa mkali sana kwa ufisadi wakuuza viwanja unaofanywa na diwani zuzu lite kwakushilikiana na mshumbusi,jambo ambalo linamkosesha ulaji slaa kupitia kwa mshumbusi.
Mimi ni mkazi wa jimbo la kawe hayo unayoyasema ndo kwanza nayasikia toka kwako,mdee amekuwa karibu sana na sisi kwaujumla wake anajitahidi sana.
Mwambie babu slaa ule mpango wake wakumuhujumu halima kwakutuletea mgombea mwingine 2015 tumeshaushtukia.
Endeleeni na mchakato wenu wakubadilisha uongozi wa jimbo la kawe lakini mwisho wa siku halima atabaki kuwa mbunge wa kawe.