Bomoa-Bomoa ya UFUKWENI si bure

na umeona matajiri hawajafanya kitu chochote na mpaka polisi alisema zoezi limeenda vizuri bila vurugu ................ukiona hivyo ujue kuna kitu kimefanyika ndo mana hawajalalamika zaidi ya mmoja alisema wangesema lini wanakuja ili waondoe vyombo vyao...............si bure lazima kuna fidia wamepewa..................

ila maskini analalamika sababu anakuwa ajapewa chake na nyumba yake inabomolewa................still sijaona haki hapo zaidi ya usanii kutuonyesha kwamba hata matajiri wanabomolewa kumbe danganya toto.

Huu ndio msimamao wa chama chako hata CCM ikifanya zuri ndio jukumu la upinzani wala haishangazi.

Tupe ushahidi kwamba wamelipwa????????????? unaweza kuficha fidia ya watu wengi kiasi hicho!!!! ni siri gani hiyo ya watu wengi hivyo???
 
na umeona matajiri hawajafanya kitu chochote na mpaka polisi alisema zoezi limeenda vizuri bila vurugu ................ukiona hivyo ujue kuna kitu kimefanyika ndo mana hawajalalamika zaidi ya mmoja alisema wangesema lini wanakuja ili waondoe vyombo vyao...............si bure lazima kuna fidia wamepewa..................

ila maskini analalamika sababu anakuwa ajapewa chake na nyumba yake inabomolewa................still sijaona haki hapo zaidi ya usanii kutuonyesha kwamba hata matajiri wanabomolewa kumbe danganya toto.


Huu ndio msimamo wa chama chako hata CCM ikifanya zuri ndio jukumu la upinzani wala haishangazi.

Tupe ushahidi kwamba wamelipwa????????????? unaweza kuficha fidia ya watu wengi kiasi hicho!!!! ni siri gani hiyo ya watu wengi hivyo???
 
hv wanaotishia kuwa 2015 itafika , hawajuwi siasa za bongo? Mmeshindwa hata...kisa 20!5
 
Mama Tiba kaanza kuwatiba wagonjwa sugu...... thanks mama.

Magufuli alifanya hivyo hapa Mwanza tukashangilia kumbe lilikuwa igizo, jamaa aliyebomolewa kituo cha mafuta akapewa fidia ya mamilioni ya fedha na nyongeza ya eneo kubwa la kiwanja, maskini kile kiwanja lilikuwepo soko letu wananchi tuliomshangilia mh. Pombe!
 
polepole..... mama Tiba alishalisemea liko njiani linakuja.

Mama Tiba alishawaita ofisini kwake kuwaambia waondoke wapeshe mkondo wa maji. Hao wa ufukweni nao alizungumza nao.

kumbe matajiri waliitwa ofisini...........unajua walichokiongelea uko ni nini?.........je maskini nao huitwa ofisini kama matajiri?
 
Kama tumekosa vitu vya kuandika ni heri tukae kimya, Kwanza utekelezaji huu wa bomoa bomoa hii umechelewa sana, mtu mwenye akili timamu huwezi kutapeliwa kununuwa kiwanja kwenye mikondo ya bahari na open space. Naishauri serikali hii hii dhaifu ya Mkwele iende mbali zaidi kwa kuwatoza malipo hawa wenye mahekalu walipie gharama za ubomoaji maana wana mihela mingi ya wizi.
 
Kuna ule mjengo mweupe wa kifahari zaidi, mbona sikuona ukibomolewa? ITV walionyesha yale mengine tu. Umebolewa kweli?
 
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?

Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.

Rubbish, wenzako wanalia wamevunjiwa wewe unasema wameshalipwa. Uliwalipa wewe?
 
Huu ndio msimamo wa chama chako hata CCM ikifanya zuri ndio jukumu la upinzani wala haishangazi.

Tupe ushahidi kwamba wamelipwa????????????? unaweza kuficha fidia ya watu wengi kiasi hicho!!!! ni siri gani hiyo ya watu wengi hivyo???
kitu kama kimefanyika kizuri ntasifia ingawa imekuwa ngumu kuamini mana usanii umezidi kiasi kwa kuniwia vigumu kama kile kilichofanyika ni cha kweli au usanii ingawa mimi naamini ule ni usanii tu siwezi badili hilo.

kwanini washindwe kuficha hiyo siri.............kwasasa watafanikiwa ingawa muda ukifika ukweli utakuja kujulikana tu trust me.
 
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?

Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.

Migomo ndiyo umeona jambo muhimu kwako kuliko kujenga kwa kufuata sheria?
 
wakimaliza wanaenda kubomoa nyumba za maskini zilizo kwenye hifadhi ya road..
 
Ubomoaji wa myumba za ufukweni ni danganya toto maana tayari watu wameshalipwa stahili zao, kinachofanyika ni danganya toto kama ni kweli mbona wamiliki hawaja onekana kwenye nyumba zao? wameonekana wapangaji na vibaka waliokuwa wanajichukulia mabati.
 
Kweli kabisa, maana kama ni kweli basi wakabomoe DoubleTree ambapo wamejenga hadi kwene maji
 
Hivi fidia kwa gorofa la Empire Properties lililobomolewa mwaka 2006 hapo Masaki kwa amri ya Lowasa imefikia wapi
 
Rubbish, wenzako wanalia wamevunjiwa wewe unasema wameshalipwa. Uliwalipa wewe?

wHY SHOULD THEY CRY WANAVUNA WALICHOPANDA kwani kwa muda mrefu ITV imekuwa ikifuatilia ujenzi wa hizi nyumba maeneo ya fukwe huku wamiliki wakionyesha kiburi cha hali ya juu. Usitegemee upande mahindi uvune mpunga "you reap exactly what you sow" . Wangeachana na huo ujenzi wa kifisadi wasingejutia kupoteza fedha zao. Ni zamu yenu mafisadi na eleweni bado kilio kikubwa zaidi kinakuja na itafika mahali wakubwa na wadogo watakuwa na equal treatment katika nchi yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom