Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Nimegundua ni rahisi zaidi kwa watawala wetu kutokea wakitoa misaada kuliko kuonesha mifano ya kujitegemea wao wenyewe. Kwa hiyo kama kwenye suala hili anaweza akatokea mwanasiasa na msaada wa gari la kusombea uchafu.. halafu akatimka zake..