Bwana yupi sasa?
Maana nao 7, wamme za watu 3, singo 2, kiserengeti 1 na sharobaro 1
Ayayayaaa hao ndo wapiga roba wa mtaani hapo wanakulia taimingi, sasa fanya hivi, hayo masendeu vua kabisa shika mkononi, anza kurudi nyuma taratibu, incase wakikukamata piga keleuwii ! Lol!Nimesimama hapa dakika kumi sasa, kuna vijana wamekaa upande wa pili wananiangalia na kunong'onezana tu. . . .embu harakisha bana.
Khaa! Urafiki wa kupinga na kufuta ni wa mashaka! Unanyimwa bumunda unamwambia mtu tufute urafiki, kesho akikumegea bagia mnarudia urafiki!Lolzzz. . .
Nilitaka kupinga na wewe urafiki ila sitaki tena.
Yani saa hizi ndio unaniambia? Nimesimama simama hapa mara nikaona nao wanasimama, wakawa wanaelekea nilipo taratibu, na mie nikajifanya kama muda wangu wa kusubiri umeisha. Walivyoona nasogea wakaongeza mwendo. . . Khaaa. . kuona vile nilitoka baru mpaka sendeu moja likanitoka na wigi la Kongosho ndo hivyo tena nitafute namna ya kumlipa.Ayayayaaa hao ndo wapiga roba wa mtaani hapo wanakulia taimingi, sasa fanya hivi, hayo masendeu vua kabisa shika mkononi, anza kurudi nyuma taratibu, incase wakikukamata piga keleuwii ! Lol!
Khaa! Urafiki wa kupinga na kufuta ni wa mashaka! Unanyimwa bumunda unamwambia mtu tufute urafiki, kesho akikumegea bagia mnarudia urafiki!
Staki shinikizo la damu mimi!
Yani saa hizi ndio unaniambia? Nimesimama simama hapa mara nikaona nao wanasimama, wakawa wanaelekea nilipo taratibu, na mie nikajifanya kama muda wangu wa kusubiri umeisha. Walivyoona nasogea wakaongeza mwendo. . . Khaaa. . kuona vile nilitoka baru mpaka sendeu moja likanitoka na wigi la Kongosho ndo hivyo tena nitafute namna ya kumlipa.
Hahahaha. Those days.
" Naomba andazi ehhh. . . "
"Uhh uhhhh."
"Jamani naomba unagawie kidogo tu. . . ?!" macho ya huruma.
"Sasa mi ntakula nini? Kila mtu ameniomba mpaka kabeki kadogo tu!" huku uso umekunja.
"Unannyima ehh. . unanyima ehh. Sawa utaona, na kesho mjomba anakuja atanletea biskuti, uone kama ntakupa. Na nafuta urafiki na wewe".
Hahahaaa Kongosho kesho atatawa, maana atatokaje mwenzio bila wigi?
Lol...acha, halafu sasa ukiamua kuwamegea unamegewa kwa kucha yaani akitafuna kiishie kwenye meno....lol!
Heee, na ile mtu akikupotezea kitu chako je, mi nilikuwa na tabia ya kudai kile kile sitaki kingine na urafiki tunafuta vile vile!
Mweeh!
Ha ha ha ha,
jamani kuomba shule !!!
Ile karaha siitaki tena
kama wewe kila siku umefulia basi ni tabu tupu. Afu kulikuwa na mtindo wa kuomba hadi Big G mkatiane.
Kuna mmoja alikuwa anaitwa Salome aliombwa akaanza kukata kabig G kadogo kadogo kwa kila mtu
alivyoangalia foleni haiishi akakatupa kalikobaki akalia kama kafiwa.
Tulipata kazi ya kumbembeleza anyamaze na ale kale kalikobaki, ilichukua kama nusu saa.
Kabakabana je?
she is cute
Hmmm you know her also?
not yet.......lol
I don't believe or trust you.
I don't believe or trust you.
i am more of a paper tiger...
not that dangerous ....lol
Which one of you is a sweet-talker?
i am more of a paper tiger...
not that dangerous ....lol
You are Don Juan