dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
wewe ni moshi mweusi
kivipi yani?,Mx
wewe ni moshi mweusi
Me likeyyy. . . .Kuna wakati unapenda ukimya wako ili ufikiri au to clear your mind.
lakini ukimya huu sio lazima ujifungie, something like 'staring outside'
Over there it' s hot.here ts cool
hadi naandika hapa mfafanuzi wa kampuni hayupo, nitaendelea kumtafuta kwa taarifa zaidi.
Hehehe tatizo unaharakisha sana bana...lol!Hahaha. . .ngoja nirudi embu, sijui ntakukuta.
Wapenda familia, you is a family woman.
Over there it' s hot.
Duuh!!
Mbali sana, usifananishe the 'looks' bana!
sidhani kama ntabadili karibuni
kwa sasa hiyo inanielezea kwa kiwango fulani.
sio mbishi
ni slow learner
kunielewesha kazi kidogo
Kongosha mwaya nilikuwa nakujibu wewe, Lizzy kadesea jibu lako nahisi hadi namba yako ya mtihani kakopi...lol!
Lizzy, Kongosho atakuwa msoma nyota huyoo!
staili ya figganiga
'nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi'
Nimesimama hapa dakika kumi sasa, kuna vijana wamekaa upande wa pili wananiangalia na kunong'onezana tu. . . .embu harakisha bana.Hehehe tatizo unaharakisha sana bana...lol!
Simama hapo hapo nije nikuchukue ushafika...lol!
so after being hot then ukaamua kujificha hapa ili kuenjoy hiyo cold weather?
Nipo viamobile mpenzi. . . nikumbushe siku ukiona signature yangu chini ya post.ha ha ha
Nihonge basi hata LIKE jamani
hujanipa kwa kipindi kirefu kweli
Kongosha mwaya nilikuwa nakujibu wewe, Lizzy kadesea jibu lako nahisi hadi namba yako ya mtihani kakopi...lol!
Lizzy, Kongosho atakuwa msoma nyota huyoo!