Wezi wa simu TAZARA

Wezi wa simu TAZARA

Pole sana mkuu,mm kuna mmoja alitaka kuniibia maeneo ya mbagala pale darajani nikiwa kwenye,alivyokuja ile kukamata simu nikamuwai kumshika mkono.Kilichofuata hapo ni kipigo na nikavunja mkono kabisa,shenzi kabisa hao vibaka.
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!

Chai😀😀😀😀
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Safi sana kwani si kila jambo lazima ulifikishe polisi kabla hujaonyesha jitihada binafsi kama hizo zako.
 
Safi sana, mkuu nikajua umekuja kulia kama wavulana wa dar
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Kama Police alikuomba laki 3 ili afuatilie mwizi wa Simu yako kuna uwezekano mkubwa ulipoondoka na mwizi wako aliachiliwa......
 
Big up sana mkuu vibaka wa pale TAZARA ni wamoja na wale wa pale buguruni chama (Kimboka), wana kera sana hawa wehu. Mfanp TAZARA pale kituoni kuna yule mteja maalufu anayekuwaga kabeba kikondomu (kimfuko cheusi cha rambo) kwaajili ya kupiga nyoka mafuta kwenye magari , afu kiunoni kabana naspana yake. Ana kamwili mgoroko mgoroko hivi afu mweusiii..tiii,yaani kama wewe ni kama ni mpitaji mzuri wa pale TAZARA utakuwa ushamjua huyo jamaa.

basi wanajifanya wanapiga debe kumbe mwisho wa siku wanavizia watu wa kuwapora simu zao na kuvuka barabara huku magari yanapita kwa kasi kwenda kuvuka TAZARA mataa....kwahiyo una baki unakodoa tu macho namna anavyoyakwepa magari licha ya mwendo mkali waokuwa wapita nao madereva.

siku ukiwatia mbavuni ni kuwapa vitasa vya haja mpka wachanganyikiwe machoko hao.
 
3687837d8810eb390001094f9ea1accb.jpg
 
Back
Top Bottom