Wezi wa simu TAZARA

Wezi wa simu TAZARA

Inauma sana kama ni sifa nzuri kuwa sehemu fulani inasifika kwa wizi...natumaini RPC Bwana Sirro anasoma huu Uzi. Haiwezekani watu wanaibiwa mchana police wapo. Inavunja imani ya raia kwa Police
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Hahahaaa we nina sana tena sana, haahahahaaa heshima kwako
 
Huwa sina kawaida ya kuendesha Gari bila kulock milango hasa nikiwa Dsm. Risk prevention ni pamoja na kujihami kwa kulock milango maeneo hatarishi kama hayo. Otherwise unawavutia wezi hasa properties zako kama simu zinapokuwa easily exposed ndani ya Gari.
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Aiseeh umenfuraisha sn sio kwa uongo huu
 
3687837d8810eb390001094f9ea1accb.jpg
Bastola katolewa Nape ila Polisi ndo wamepasuka vichwa. Hahahaaah.
 
Mwizi/tapeli sio wa kupeleka police. Ukiweza mmalize huko huko police na hawa wezi ni kama ndugu.

Mara nyingi wanajuana, kuna mama alichongesha masofa akalipa akamaliza akasubiri masofa hadi mwezi bado akaenda police yule fundi akakamatwa. Huwezi amini alitoka siku ile ile.
Nikiwa pale nimefatilia vitu vyangu fundi kajisahau kasema

"police watanifungaje wakati mm ndo nawaweka mjini?" nimewapa laki nitatengeneza polepole huyu mama asinikimbize nilichoka!
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Sasa nani askar halo,ww au aliehitaji 'Kali3;lkn hujasemma kama Ile ya awali umeipata au pia
 
Ndo impact za ubahili wa kula kipupwe kwenye gari.tia lock pandisha kioo kula upupwe.hutoona mwizi
 
Hongera mkuu tumeshajua unamiliki gari na pia unamiliki chamoto na chabaridi lengo lako limetimia mpaka akina miss chaga wanakusifia sasa ivi utawang'oa ngoja nami nikaandae kathread kangu huenda nikang'oa pia
Haha Jf bhan sikua na lengo hilo
 
Ndo impact za ubahili wa kula kipupwe kwenye gari.tia lock pandisha kioo kula upupwe.hutoona mwizi
Hahaha naona Mara moja moja sio mbaya mkuu hali ya uchumi ni ngumi sana
 
Back
Top Bottom