Wezi wa simu TAZARA

Mi nikifika maeneo hayo natoa lock za mkanda nabaki standby kwa lolote. Siku moja niliibiwa nikashindwa kujitetea sababu mkanda ulinig'ang'ania
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Hongera mkuu tumeshajua unamiliki gari na pia unamiliki chamoto na chabaridi lengo lako limetimia mpaka akina miss chaga wanakusifia sasa ivi utawang'oa ngoja nami nikaandae kathread kangu huenda nikang'oa pia
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Wanaume wa JF kwa kuongeza chumvi tu ......mmo
 
Sredi ndio kitu gani Mkuu? Au umemaanisha Thread?
Hopefuly umenielewa baby boo. Maandishi yakiwa twisted yanaleta vibes murua. Najua kabisa ni thread ya Uzi bt to inflict the rhythim and tenderness nikaweka sredi...!

don't be bothered with lil stuff hun.

Umesoma lakini sredi yangu nilikuattachia!?
 
Hopefuly umenielewa baby boo. Maandishi yakiwa twisted yanaleta vibes murua. Najua kabisa ni thread ya Uzi bt to inflict the rhythim and tenderness nikaweka sredi...!

don't be bothered with lil stuff hun.
Sawa shemeji ila next time treat me like old age woman not a girl by putting those twist in words
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Hongera, wewe ni mwanaume wa mkoani hasa!
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Hahaha

Loh wewe jamaa utakuwa imeongeza chai

Vichwa 53 hata wewe ingekuwa umetoka manundu

Ila.wezi wanaudhi sana aisee
 
Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.

Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.

Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.

Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.

Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.

Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.

Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Mlikosea sana.

Ilitakiwa mtafune Marinda kwanza.

Shenzi kabisa hao.
 
Back
Top Bottom