Hongera mkuu tumeshajua unamiliki gari na pia unamiliki chamoto na chabaridi lengo lako limetimia mpaka akina miss chaga wanakusifia sasa ivi utawang'oa ngoja nami nikaandae kathread kangu huenda nikang'oa piaKama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.
Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.
Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.
Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.
Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.
Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.
Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Wanaume wa JF kwa kuongeza chumvi tu ......mmoKuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Rejea sredi yangu hii hapa Picha; Mwanaume wa Kanda ya ziwa awadhibiti panya roadWanaume wa JF kwa kuongeza chumvi tu ......mmo
Sredi ndio kitu gani Mkuu? Au umemaanisha Thread?Rejea sredi yangu hii hapa Picha; Mwanaume wa Kanda ya ziwa awadhibiti panya road
Ukiisoma sredi yangu hapo juu ndo utanijua sawaswa.
Hopefuly umenielewa baby boo. Maandishi yakiwa twisted yanaleta vibes murua. Najua kabisa ni thread ya Uzi bt to inflict the rhythim and tenderness nikaweka sredi...!Sredi ndio kitu gani Mkuu? Au umemaanisha Thread?
Sawa shemeji ila next time treat me like old age woman not a girl by putting those twist in wordsHopefuly umenielewa baby boo. Maandishi yakiwa twisted yanaleta vibes murua. Najua kabisa ni thread ya Uzi bt to inflict the rhythim and tenderness nikaweka sredi...!
don't be bothered with lil stuff hun.
You don't sound like an old age woman..! You sound like classic grown little cutte lady.Sawa shemeji ila next time treat me like old age woman not a girl by putting those twist in words
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Enjoy bro!
Mkuu umenivunja mbavu,Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Hahahaha,hatariKuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Aaaaaah!!! Hatari kuuubwa. Mwizi hawezi kunisahahu maisha yake yote kwa madivataizi yale.Hahahaha,hatari
Hongera, wewe ni mwanaume wa mkoani hasa!Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.
Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.
Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.
Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.
Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.
Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.
Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
HahahaKuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Kabisa mkuu..Enjoy bro!
Mlikosea sana.Kama mwezi mmoja umepita niliibiwa simu yangu iPhone 6 s plus maeneo ya tazara kwenye mataa,hiyo simu masikini nilikua nmeitumia kma wiki tu.
Walicho kifanya wale vibaka walikua na bodaboda,mmoja alishuka akabaki nyuma ya gari,dereva akasongea Mbele kabisa Jaribu na kwenye bonet,walk chokifanya yule wanyuma alipokonya simu,akadandia bodaboda,wakawasha.
Nikasema sawa,nlienda polis kureport,askari akanambia nimpe laki 3 na imei Namba aitafute,nikaona hiyo nae mwizi, ntaitafuta mwenyewe.
Tangu ijumaa wiki iliyopita niliandaa silaa zangu zote moto na baridi nikaziweka kwenye gari.
Nlivyokua nikifika tazara pale kwenye mataa natoa simu kama kawaida afu Nakaa chonjo nikamate mwiz,jana bwana mtego wangu ukanasa.
Walikuja kma kawaida wakajipanga yule wa nyuma nikawa namchungulia kwenye side mirror, alivosongelea gari tu nkamdaka,yule wa Boda Boda akakimbia.
Yule Jamaa nligonga vya kutosha wakaja watu naona wakagonga mpka walivyokuja as askari,nikawaeleza tukaenda kituoni buguruni,Dogo alitaja machimbo yake yote na wezi wenzie wote wa vingunguti, Dogo yuko ndani anasidia upelelezi mpka hivi sasa.