Weusi hasa wa Tanzania ni laana ukiona haya yanayofanywa na Samia na CCM/serikali kuhusu miswada iliyopelekwa bungeni

Mwenyekiti wa kamati anatafuta uwaziri kwa mbinde sana!!

Kinyaa kitupu!
 
shida pia ipo pale tunapoendelea kuwaamini wapumbavu walewale waendelee kutufanyia maamuzi.

Kuna wakati lazima raia tuamke na kuchukua sheria mkononi kuliko kuendelea kuamini wale wale wajings wataleta mapinduzi.
 
Tanzania kweny ulingo wa siasa hamuwezi kuwatoa CCM ng'o labda pawe na vikund vya ambush kama somalia ma congo....
 
Binafsi ninahisi ngozi nyeusi kama imelaaniwa vile. Na hiyo laana ndiyo inayotufanya mara zote kufanya mambo mengi ya kipuuzi na ya kijinga.
Nikama wewe tu...unazo akili ndogo sana..ndiyo maana mnadhani democracy inaweza kuikomboa africa ...kama umeweza kujua kuwa waafrica tuna kitu kama laana kwenye akili zetu kinacho tufanya kutoa maamuzi mabovu mengi kuliko mazuri basi ungekuwa na akili ungekuwa umegundua kuwa waafrica hata tukiwa na democracy ya kweli hatuwezi kuvuna mema .....maana democracy inafanya vyema kwa watu wenye akili bora ...mfano ukiwapa watu democracy ya kweli ili wachague kati ya kula chakula au kinyesi, walio wengi wakachagua kinyesi kutokana na akili zao mbovu hapo utasema tatizo ni democracy au akili mbovu
 
Back
Top Bottom