Kina Morgan katika nchi za kiafrika wamejaa wengi mpaka wanamwagika! hata Bongo tunao. Yaani ukiwahakikishia support na umaarufu, basi wako tayari kuuza hata utu wao. HIvi tujiulize, kuna siri gani ambayo Mbeki anayo na inamfanya amdharau sana Morgan?