Wenzangu mnawezaje kuacha?

Wenzangu mnawezaje kuacha?

Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.

Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.

Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
Ameeeeeeeeeeeeeeen
 
Ilikuwa bado mkuu sijampata nimempata hivi karibunii
Basi huyo mwanamke kakufanya uache mpango wa kumuoa Emmy sio kwamba ulikua huna mpango wa kumuoa Emmy

Dogo utaja juta
 
Huyu mpenz wangu mpya mbali na kuvaa ni mzuri sana kuanzia rangi yake sioni kitu cha kunizuia nisimuoe wakati mwenyewe kanikubali hata sikutegemea siwezi poteza hii bahati wakuu huyu mtoto ni chombo haswaa
Kumbe unaoa kwa bahati

Acha kuchekesha Bwana mdogo
 
Bro..malipo n hapahapa kwa dunia. Karma will do his work.
 
Basi huyo mwanamke kakufanya uache mpango wa kumuoa Emmy sio kwamba ulikua huna mpango wa kumuoa Emmy

Dogo utaja juta
Sikua na mpango huo hata kabla ya kumpata huyu niliyenaye
 
Katika jambo ambalo ni gumu sana kwangu ni KUACHA. sijawahi kuacha zaidi ya kuachwa.

Labda siku za usoni naweza kuja kuweza kuacha.
 
Amka boy huyo unaye mpenda na kutaka kumuowa hakupendi na hana mpango na wewe
Wewe umejuaje kama hanipendi? Wakati mm ndio nipo nae na anaonyesha ananipenda tena kwa dhati
 
mkuu acha roho mbaya..oa mwanamke anaekupenda sio unaempenda utakufa mapema saanaa
Wote wananipenda mkuu ila mm nachagua ninae mpenda yaani tunakuwa tunapendana
 
Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha

Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.

Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
Boy, remember karma is a bitch
 
Gentleman huwa hasemi its over unaishia kimyakimya huwezi jua kesho na keshokutwa atakufaa wapi
dah sidhani kama naweza man, sidhani kama nitaweza kuanza kuzurura zura kumzungiusha mtu, yani namwambia hapo hapo na nafikiri ataanza kudeal nalo mapema
 
Kuna mama mmoja aliniambia mwanamke anae kupenda ila wewe humpendi hata siku moja usimuache kwa kumwambia sikupendi/sikutaki anaachwa kwa mbinu

Itoshe tu kusema usiowe mwanamke kwa kumuonea huruma wakati we humpendi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom