Yaani mkuu acha tu yaani hata kitu kidogo tu anaridhika huyu dada ila kumuoa akkili hainipi kabisa nimempata mdada mzuri sana na nampenda mno huyu ndio mke wangu mtarajiwaHakuna kazi nyepesi kama kuishi na mtu anayekupenda sana yaan ukimfanyia kitu kidogo tu anafurahi na kuridhika,
Oeni wanaowapenda siyo mnaowapenda. Mkifanikiwa kubwagana namuomba huyo Emmy
Jiandae kisaikolojia mzee lazima utaumizwa na wewe tena na huyo huyo unayempenda piga ua lazimaMkuu ni mwanamke lakin simpend sana kwakweli japo hajanikosea jambo lolote
Unataka akusaidie nini? Au unataka akuambie uko sahihi ili roho yako ifarijike? Ulichokifanya ni upuuzi, full stop!Joanah ni bora unisaidie maneno yako na wewe yanazidi kuniumiza na kujiona mkosaji ukweli ni kwamba huyu dada sikuwa na mipango ya kumuoa toka tunaanza mahusiano ila huwezi mueleza mtu jambo kama hilo
Wewe jamaa una maneno mabaya sana ningejua hata nisingesoma comment yakoJiandae kisaikolojia mzee lazima utaumizwa na wewe tena na huyo huyo unayempenda piga ua lazima
Hiyo tunaita natural law
Ni suala la muda tuu
Na lazima utamkumbuka emmy wako
Mwanamke ni tabia mzee sio sura wala tako
Jiandae kabsaaaa kuna tukio litakutokea hapo mbeleni
Huo ndiyo ukweli mzee kwa sisi tulio somea saikolojia tunaelewa trend inavokuwaWewe jamaa una maneno mabaya sana ningejua hata nisingesoma comment yako
Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.Mkuu ni mwanamke lakin simpend sana kwakweli japo hajanikosea jambo lolote
muache hana ishuKimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi
Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo
Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
Bidada, kwani na wew uliachwa kama emmy?Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.
Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.
Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
hahahahahahaaaaa.....hii ni laana sio maombi....maombi huwa ya kheri siku zote.....Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.
Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.
Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
Mkuu i feel uchungu wa huyo dada emmy malipo ni hapa hapa.Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenz wa maisha
Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadae na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.
Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
Hahahahaa eti umempata mdada mzuriii hongera kwa hilo,Yaani mkuu acha tu yaani hata kitu kidogo tu anaridhika huyu dada ila kumuoa akkili hainipi kabisa nimempata mdada mzuri sana na nampenda mno huyu ndio mke wangu mtarajiwa