Wenzangu mnawezaje kuacha?

Wenzangu mnawezaje kuacha?

Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi

Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo

Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
Nimejifunza kuwa upendo wa mwanamke hukolea jinsi siku zinavyosogea
 
Mwamba kafeli sana, esp. hapo aliposema emmy hana kasoro yyt.

Huyu itakuwa kavutiwa na mdada wa mjini huyo anaejua kupiga pamba na makeups kisa ana chench za kupiga taizi...nahisi Emmy yupo natural zaidi mshamba kwa mbali. Ila wanawake design ya Emmy ndio wa kuoa.
Huyu mpenz wangu mpya mbali na kuvaa ni mzuri sana kuanzia rangi yake sioni kitu cha kunizuia nisimuoe wakati mwenyewe kanikubali hata sikutegemea siwezi poteza hii bahati wakuu huyu mtoto ni chombo haswaa
 
Nimejifunza kuwa upendo wa mwanamke hukolea jinsi siku zinavyosogea
Kweli mkuu mwanzoni emmy alianza akiwa wala hanipend sana ghafla tu kaanza kunipenda kiajabu ningejua nitampata hyyu ningemuacha ule mwaka wa kwanza wala asingelaumu kama sasa hivi anavyonipa tabuu
 
Siku atakayomkuta anachilwa ndani ya nyumba na kitanda wanacholalia pamoja atajifunza kitu kuhusu wanawake
Hivi wakuu mbona mnacoment vibaya hivi hata nyinyi najua wengi wenu mnadate na mtu wa 10+ hao wengne mbn mliwaacha hamkuoa wa kwanza tu kumpata maishani?
 
O

Ila kufanya uasherati inakuruhusu? Hiyo dini yako.
Mkuu hakuna dini inaruhusu uasherati ila zipo dini zinaruhusu kuoa mke zaidi yw mmoja ila yangu mimi hairuhusu hilo
 
Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.

Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.

Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
Duuuh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom