Wenzangu mnawezaje kuacha?

Wenzangu mnawezaje kuacha?

Kwahiyo ulikuwa unafanyia rehearsal kwake halafu event kwa mwingine
 
Hilo linatutokea Wanaume wengi tu, tena kuna wengine wanakuwa wamewapromise mabinti kadhaa lakini hakikisha utawaomba msamaha waridhie ili nawewe milango yako ya baraka ifunguke
 
Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha

Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.

Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
Kwani huyo Emmy ulimkuta na usichana wake?

Kama hakua bikra basi ulikua unamega mke wa mtu.

Kama umemwambia ukweli, basi inatosha. Mwisho wa siku atazoea kisha ata give up na maisha yataendelea.

Kikubwa wewe punguza mawasiliano naye
 
Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi

Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo

Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
daah inakera kweli
 
Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.

Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.

Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
aah dada taratibu, huyo dada mpya ana kosa gani hadi umuite mpuuzi?
 
Ndio najaribu kuwaza hapa, Mchizi alikua anapataje hisia hadi anadidinsha kwa huyo dada, mbali na hilo... Alikua anatoaje wazungu kama hampendi huyo binti au wakati wa kukojoa alikua hisia anazi danganya yuko na huyo mke wake mtarajiwa....!?

Hii ngumu kumeza...
Mmh we nae...kwamba mtu usipompenda hausimami kabisa? Hii sio kweli ..ingekuwa hivi watu wakienda kununua wasingekuwa wanasimamisha
 
Watu Kama nyie ndio mnaongeza pollution duniani!Sasa hapo ushaongeza mwanamke asiyejali Tena neno mapenzi,maana hataamini Tena mwanaume,umeongeza nunda...ila machozi ya Emmy yatakufuata tu nyuma siku zote
 
Hilo linatutokea Wanaume wengi tu, tena kuna wengine wanakuwa wamewapromise mabinti kadhaa lakini hakikisha utawaomba msamaha waridhie ili nawewe milango yako ya baraka ifunguke
Nashukuru mkuu kwa ushauri mzurii
 
Kwani huyo Emmy ulimkuta na usichana wake?

Kama hakua bikra basi ulikua unamega mke wa mtu.

Kama umemwambia ukweli, basi inatosha. Mwisho wa siku atazoea kisha ata give up na maisha yataendelea.

Kikubwa wewe punguza mawasiliano naye
Asante sana mkuu sikumkuta bikra emmy
 
Mmh we nae...kwamba mtu usipompenda hausimami kabisa? Hii sio kweli ..ingekuwa hivi watu wakienda kununua wasingekuwa wanasimamisha
Na mm nimemshangaa jamaa anauliza kuhusu kusimamisha et
 
aah dada taratibu, huyo dada mpya ana kosa gani hadi umuite mpuuzi?
Ndio nashangaa huyu dada wa watu ana muita mpuuzi wakati hana shida yoyote na wala hamjui emmy yeye ananipenda mimi tu na mimi nampenda sana
 
Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi

Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo

Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
We waliokupenda umedumu nao milele 😂?
 
Circle mbaya sana hiii...mnakuta mnakimbizana uliyempenda hakupendi,na anayekupenda humpendi...that's truest
mapenz ya kibongo jau sana, unampenda mtu sana ila yeye wala hakuwazii kihivyo. Hata ukisema unamuacha anaona umemsaidia.🤣🤣🤣
 
Ndio maana huwa siwezi kuwa kwenye mahusiano na mtu ambae si mpendi... hakuna kitu kibaya kama kuumiza hisia za mtu.

Ukikaa vibaya utakuja kujuta sana... hakikisha anakusameh
Ubaya huyo utaemuangukia nae hakupendi katika usawa! Utajikuta unajitoa sana kuliko yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom