Ila ngono na mtu asiye mkeo inaruhusu...hiyo dini mpya kwangu, ni dini gani hiyo mkuu?Dini yangu hairuhusu mkuu jambo hilo
Kwani huyo Emmy ulimkuta na usichana wake?Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha
Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.
Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
daah inakera kweliKimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi
Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo
Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.
Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.
Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.


aah dada taratibu, huyo dada mpya ana kosa gani hadi umuite mpuuzi?Mmh we nae...kwamba mtu usipompenda hausimami kabisa? Hii sio kweli ..ingekuwa hivi watu wakienda kununua wasingekuwa wanasimamishaNdio najaribu kuwaza hapa, Mchizi alikua anapataje hisia hadi anadidinsha kwa huyo dada, mbali na hilo... Alikua anatoaje wazungu kama hampendi huyo binti au wakati wa kukojoa alikua hisia anazi danganya yuko na huyo mke wake mtarajiwa....!?
Hii ngumu kumeza...
huyu ndo ka kwambia ukwel kama emmy ndo alikuwa na haki lazima nature ilipize tena umemtesa mwanamke umekwishaWewe jamaa una maneno mabaya sana ningejua hata nisingesoma comment yako
Asante sana mkuu sikumkuta bikra emmyKwani huyo Emmy ulimkuta na usichana wake?
Kama hakua bikra basi ulikua unamega mke wa mtu.
Kama umemwambia ukweli, basi inatosha. Mwisho wa siku atazoea kisha ata give up na maisha yataendelea.
Kikubwa wewe punguza mawasiliano naye
Hapana ,nilikuwa najifunza kuomba kwa kukemea mapepoBidada, kwani na wew uliachwa kama emmy?
We waliokupenda umedumu nao milele 😂?Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi
Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo
Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
mapenz ya kibongo jau sana, unampenda mtu sana ila yeye wala hakuwazii kihivyo. Hata ukisema unamuacha anaona umemsaidia.🤣🤣🤣Circle mbaya sana hiii...mnakuta mnakimbizana uliyempenda hakupendi,na anayekupenda humpendi...that's truest
Ubaya huyo utaemuangukia nae hakupendi katika usawa! Utajikuta unajitoa sana kuliko yeyeNdio maana huwa siwezi kuwa kwenye mahusiano na mtu ambae si mpendi... hakuna kitu kibaya kama kuumiza hisia za mtu.
Ukikaa vibaya utakuja kujuta sana... hakikisha anakusameh