Wenzangu mnawezaje kuacha?

Wenzangu mnawezaje kuacha?

Umempotezea muda emmy kisa huyo mpuuzi ulompata ukiwa na uwezo.

Mungu naomba akupige kiboko, ukimuoa huyo mpya azae mtoto wa x wake, asiwaheshimu wazazi wako, lakini pia ndani asikujali, kazi zote afanye house girl, akutese ndani, atoke na boss wake, simu yake usiiguse uione kama kituo cha police, ukose amani ya ndoa. Utamani kumuacha. Akuvuruge mpaka umpe taraka, hutwo tumali twako mtugawane kati, urudi kama alivyokukuta emmy.

Wote tunao amini maombi haya tuseme ameeeeeena.
Akifanya hivyo unamuacha unachukua mwingine, quite simply
 
dah sidhani kama naweza man, sidhani kama nitaweza kuanza kuzurura zura kumzungiusha mtu, yani namwambia hapo hapo na nafikiri ataanza kudeal nalo mapema
Ndio nakupa mbinu hizo sasa mi nimeoa ila maex wangu wote nikiamua nakumbushia sababu sijawahi kuwaambia its over
 
Kuna mama mmoja aliniambia mwanamke anae kupenda ila wewe humpendi hata siku moja usimuache kwa kumwambia sikupendi/sikutaki anaachwa kwa mbinu

Itoshe tu kusema usiowe mwanamke kwa kumuonea huruma wakati we humpendi
Asante sana mkuu umeongea kitu cha maana mno
 
Nakutabiria huyu Mtarajiwa wako, siku moja atakwambia huku kakubania pua" nataka kuolewa Gwele, hivyo nimeamua kusitisha mahusiano na wewe". Hapo ndo Emmy atakuwa anakuja katika ndoto zako mara 20 kwa siku.
 
Mwanamke huna malengo nae unakaa nae miaka 2?????upo serious kweli?ukilogwa utasema wanawake wabaya....

Mwnamke usiye na malengo nae kudate nae mwisho ni mwezi tu zaidi ya hapo mwambie kabisa bwana mi naona nitakupotezea mda nina mpenzi ambaye nyumbani wanamjua kama mke wangu mtarajiwa najisikia vby kuendelee kutembea na wewe wakati najua hatuna malengo

Akikubali sawa endelea kupiga mzigo akigoma achana nae...

Mambo ya kugandana na mwanamke ambaye huna malengo nae mwisho wa simu mnaachiwa na mikosi au kulogwa kabisa...na hapo utakuwa umejitakia mwenyewe
 
Kuwa mchepuko hataki na mbaya zaidi tulianza nikiwa na hali mbaya now kidogo mambo safi anahisi namuacha kwa sababu hiyo
Wanaume mnadhambi kipindi ubashida alijuvumilia ukamuona mtu leo umeanza kupata unamuona mavi,Mungu anakuona ogopa sana chozi lamwanamke TAFAKARI
 
Wanaume mnadhambi kipindi ubashida alijuvumilia ukamuona mtu leo umeanza kupata unamuona mavi,Mungu anakuona ogopa sana chozi lamwanamke TAFAKARI
Sio kwamba namuona mavi,ila nimepata mtu wa kuoa
 
Sio kwamba namuona mavi,ila nimepata mtu wa kuoa
Ila inauma kwanini umfanye mtoto wamwenzio wakukutumizia haja zako tuu uoe mwingine muda wote huo sio poa kama mtu haumpendi anzisha mahusiano naunaempenda sio kuchezea mtoto wamtu MUNGU ANAKUONA
 
Kitu gani mke wako mtarajiwa anamzidi Emmy?
 
Wewe umejuaje kama hanipendi? Wakati mm ndio nipo nae na anaonyesha ananipenda tena kwa dhati
Unadhani Emmy alijua kuwa humpendi?? Ulivyomsuprise Emmy na wewe ndivyo utakavyokuja kuwa surprised ni suala la muda tu
 
Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha

Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.

Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
Kuwa makini sana na maamuzi unayotaka kuyafanya.
Ni bora ukaoa anayekupenda kuliko unayempenda.
 
Unadhani Emmy alijua kuwa humpendi?? Ulivyomsuprise Emmy na wewe ndivyo utakavyokuja kuwa surprised ni suala la muda tu
Kabisa!! Haya mambo sijui kwanini yanageuka ghafla.

Halafu mbaya zaidi baadae akitaka kuja kurudi kwa emmy inakuwa too late
 
Unadhani Emmy alijua kuwa humpendi?? Ulivyomsuprise Emmy na wewe ndivyo utakavyokuja kuwa surprised ni suala la muda tu
Nikweli ipo cku atajuta chozi lamtu mzima halipotei bure
 
Hiyo njia uliyotumia kuachana nae inashtua, ni bora hata ungemfanyia visa mdogo mdogo hadi muachane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom