Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,147
- 190,643
Ukishaona huumii kuachana ujue ushakuwa malaya, imagine una backup ya mabwana 6! We ni nani? 😎Bado
Nikiachwa tena ndio nitajaribu kuwa
Ukishaona huumii kuachana ujue ushakuwa malaya, imagine una backup ya mabwana 6! We ni nani? 😎Bado
Nikiachwa tena ndio nitajaribu kuwa
Na ndiye mtu ambaye atakuvumilia on your darkest days sababu amefungamana na wewe kwa upendo sio masla
Kabisa mkuu huyu bwana mdogo mwache abebe jiwe japo yeye anaamini ni dhahabu
Ukishaona huumii kuachana ujue ushakuwa malaya, imagine una backup ya mabwana 6! We ni nani? 😎
umepanda laana, utavuna laana. muache kuwachezea hao watoto wa kike iwapo hamna mipango nao.Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha
Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.
Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi
Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo
Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri
Kwahio, unanipanga kabisa....uongo!?😂😂😂Nitaumia nikiachwa,hata sitamani itokee
Lakini ikitokea nimeachwa nitaruhusu akili na moyo kukubali mapema na kumove on.....haitakuwa kama ile ya mara ya kwanza
Sio umalaya bhana chief Extrovert ,nitachagua mmoja kati ya waliopo
We ushaacha wangapi hadi sasa??
Kwahio, unanipanga kabisa....uongo!?😂😂😂
Huwa unaachwa tu?Sijawahi kuacha mtu
Huwa unaachwa tu?
Ndio,nilishaachwa
Kwani dini yako ilikuruhusu kua na Emmy huku ukim**mba papuchi yake?Dini yangu hairuhusu mkuu jambo hilo
Unatafuta faraja ya nini?Dada nipo hapa kutafuta faraja ujue
Ukiachwa tena niambie
Wewe huoni kama ulimtamkia Emmy maneno mabaya?Wewe jamaa una maneno mabaya sana ningejua hata nisingesoma comment yako