Wenzangu mnawezaje kuacha?

Wenzangu mnawezaje kuacha?

Ukishaona huumii kuachana ujue ushakuwa malaya, imagine una backup ya mabwana 6! We ni nani? 😎

Nitaumia nikiachwa,hata sitamani itokee

Lakini ikitokea nimeachwa nitaruhusu akili na moyo kukubali mapema na kumove on.....haitakuwa kama ile ya mara ya kwanza

Sio umalaya bhana chief Extrovert ,nitachagua mmoja kati ya waliopo
 
Kipindi cha miaka miwili nyuma nilipata demu kwa jina Emmy huyu dada sikumpenda ila nilimtongoza kwakua nilikuwa na uhitaji wa huduma mara kwa mara kabla sijampata mpenzi wa maisha

Emmy alinizoea sana na ndani ya miaka miwili upendo wake kwangu ulikuwa juu sana kuliko awali na akaanza kuzungumzia plan za baadaye na mimi kitu ambacho kilianza kuniwazisha kwan sikuwa na mipango hiyo.

Sasa juzi hapa niliamua kumwandikia message kumwambia mm nategemea kuoa mwakani nimeshapata mtu mwengne aisee huyu dada alilia sana na kutoa lawama mpaka nikajihisi mimi ni shetani yaani kila ninavyojitahidi kumbenbeleza maneno anayoniambia ni yananichina maana alipiga, simu akiwa anaongea analia et "muda wote ulikuwa unanichezea gwele kumbe huna malengo na mimi" yaani najikuta namuonea huruma maana hajanikosea ila simpend tu tayari nina mke wangu mtarajiwa na nampenda sana. Hebu naomba msaada wa kuachana na Emmy na kuziepuka hizi laana nitumie mbinu gani wajameni
umepanda laana, utavuna laana. muache kuwachezea hao watoto wa kike iwapo hamna mipango nao.
tambua karma ipo nainafanya kazi
 
Hakuna kitu kibaya cha kuanza uhusiano kwa kumfanganya mwenzako uhusiano wowote wanawake wengi huwa wanawazia ndoa. Wachache sana ambao huwa wanawazia anapita tu.

Mwambie mapema kabisa kuwa wewe haitatokea kuoana na mm labda Mungu tu aingilie Kati napenda tu kampani ya mapenzi au tuition ya mapenzi

Wanaume tuache uongo wa kujificha na huyo uloanzisha naye umempa moyo wako atakiponyoka na ww umsaidie mwenzako kilio alichopata
 
Kimsingi umeamua kuumiza moyo wa mtu kwa makusudi

Nawish binadamu tuwe tunapendana milele,yaani mfano nikianzisha mahusiano na mtu basi ndio awe huyo huyo hadi mpaka kifo

Asa wewe umemkoleza dada wa watu kakupenda kweli halafu unataka kumuacha tena....sio vizuri


We ushaacha wangapi hadi sasa??
 
Nitaumia nikiachwa,hata sitamani itokee

Lakini ikitokea nimeachwa nitaruhusu akili na moyo kukubali mapema na kumove on.....haitakuwa kama ile ya mara ya kwanza

Sio umalaya bhana chief Extrovert ,nitachagua mmoja kati ya waliopo
Kwahio, unanipanga kabisa....uongo!?😂😂😂
 
Amka boy huyo unaye mpenda na kutaka kumuowa hakupendi na hana mpango na wewe
 
Wewe jamaa una maneno mabaya sana ningejua hata nisingesoma comment yako
Wewe huoni kama ulimtamkia Emmy maneno mabaya?

Nipe namba yake nimuoe mimi
Nimetokea kumpenda kwa huruma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom