Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?Katika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
Tumeleta ingizo jipya. Si sawa na UKAWA mnaookoteza wazee waliojichokea kama Lowasa, Kingunge, Sumaye, Mgana Msindai, Hamisi Mgeja nkHivi magwiji wa chama kama S.sitta wako wapi?na hapo ndipo ninapo ipenda ccm ikisha kutumia kama karai inakusukumia mbali kama Ngawaia Na Lamwai bila kumsaha Kabouru wa Kigoma
Kazi aliyotumwa imekamilika pia nafsi inazidi kumsutaBaada ya kuongoza karibu vikao vyote vya kujadili na kupitisha bajeti,Naibu Spika,Dr. Tulia Ackson,amechoka kimwili na kiroho. Anajipanga kuwapisha,kuongoza Bunge,wenyeviti watatu wa Bunge wakiwemo Chenge na Zungu.
Taarifa za kiintelijensia hapa Dodoma zinabainisha kuwa Dr. Tulia amewaambia watu wa karibu yake kuwa 'amesaidia vya kutosha na sasa anahitaji kupumzika'. Dr. Tulia anatajwa kama aliyetumika wakati wote wa bajeti 'kuwafukuza' Wabunge wa Upinzani kwakuwa Wabunge hao hawako tayari kuongowa nao Bungeni.
CCM na Serikali yetu tulimtumia Dr. Tulia ipasavyo katika kupunguza au kuondoa changamoto za Wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa mjadala na kupitishwa kwa bajeti. Ni kusutwa kwa nafsi? Ni kuchoka kweli? Sasa wanarudi Chenge na Zungu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Kijana,Dr. Tulia hajawahi kupata First Class. Tafiti vyema kabla ya kuongopa.Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Kumbe mbwembwe zote ..... oh wapinzani wafuate taratibu. Kumbe ilikuwa ni kutekeleza plan of action!!Kazi imekamilika. Hiyo Intelojensia yako imeshindwa kuliona hilo mapema
Hujui kuwa hujui unacho ongeaKatika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
Div 5 hata hujui unacho kiandika, Intelojensia ndiyo nini?Kazi imekamilika. Hiyo Intelojensia yako imeshindwa kuliona hilo mapema
Hao washatupwa huko wanapambana na ugumu wa maisha kwani watakuwa wanasutwa na hata watoto wadogoHivi magwiji wa chama kama S.sitta wako wapi?na hapo ndipo ninapo ipenda ccm ikisha kutumia kama karai inakusukumia mbali kama Ngawaia Na Lamwai bila kumsaha Kabouru wa Kigoma
Aliyewahi kupata First class ya sheria kwa upande wa wanawake waliopitia Udsm ni Dk Asha Rose Migiro tu.So fanya utafiti uje na taarifa kamili.Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Wewe utaishia kusifia tu na kupika chai hapo lumumbaDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Hata wangekuwemo ndani ya bunge. Nambaz don't lie.Bajeti imeshapita hivyo kazi yake ya kuwadhibiti Wabunge wa UKAWA kuisambaratisha bajeti yao kaikamilisha.
Div 5 hata hujui unacho kiandika, Intelojensia ndiyo nini?
Katika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....