Wenyeviti wa Bunge wote wako wapi?

Wenyeviti wa Bunge wote wako wapi?

Mkuu..
Huyu Liza..ni ****** na ninahuakika haujui mlango wa jengo linaloitwa chuo..

Alijaribu kutupotosha na CV ya Msomi Advocate Lissu Tundu..kua hajawahi kuingia mahakamanii
Lizaboni naona hata familia yake wanajuta kuwa na kiumbe kama huyo
 
Wametupwa pembeni mteule wa Raisi afanye kazi aliyotumwa na bosi wake. Hiyo ilikua ni agenda yao ya kuhakikisha mambo yao yanapita kwa nguvu ya kiti. Hatuna bunge tena,bunge linaendeshwa kwa remote kutoka ikulu.
 
Ni mkakiliti unepangwa ili wapinzani watakapo simamia msimamo wao wa kuto ingia bajeti hewa itapita kilaini bila kuhojiwa mapungufu.
Na wajinga wanaunga mkono bila kuona athari zake
Huo mkakati wa MaCcm wangeuzima kwa kuacha ujinga wao ili waingie bungeni.
 
Hii nchi kupata maendeleo bado sana,hatuwezi kuongozwa na fikra za mtu mmoja!
 
Hivi Mwalimu Nyerere alizikwa na uzalendo wake au kunasehemu umehifadhiwa utatumika wakizaliwa wazalendo?
 
Mateso au furaha ya hii bajeti ni Yetu sote kuanzia ccm mpaka ukawa na wasio na vyama busara na hekima ikitumika ndio nchi yetu inaweza kusonga mbele ila kwa sasa naona Badoo sanaaa
Busara itumike vipi kwa mfano? Dr. Tulia ajiudhuru? Au asiongoze bunge wabunge wa upinzani wanapokuwapo bungeni? ama labda Dr. Tulia awatamkie kwamba ataruhusu kila wanachotaka? au atamke hadharani kuwaomba msamaha? Au pengine afanyeje? Na kama ni kutumia busara ya kutatua suala hili, kwani ukawa wao hawawezi kutumia busara? Au kwa nini wasiamue kumpuuza Dr. Tulia ili waendelee na shughuri za kawaida za bunge?
 
Back
Top Bottom