Wenyeviti wa Bunge wote wako wapi?

Wenyeviti wa Bunge wote wako wapi?

Baada ya kuongoza karibu vikao vyote vya kujadili na kupitisha bajeti,Naibu Spika,Dr. Tulia Ackson,amechoka kimwili na kiroho. Anajipanga kuwapisha,kuongoza Bunge,wenyeviti watatu wa Bunge wakiwemo Chenge na Zungu.

Taarifa za kiintelijensia hapa Dodoma zinabainisha kuwa Dr. Tulia amewaambia watu wa karibu yake kuwa 'amesaidia vya kutosha na sasa anahitaji kupumzika'. Dr. Tulia anatajwa kama aliyetumika wakati wote wa bajeti 'kuwafukuza' Wabunge wa Upinzani kwakuwa Wabunge hao hawako tayari kuongowa nao Bungeni.

CCM na Serikali yetu tulimtumia Dr. Tulia ipasavyo katika kupunguza au kuondoa changamoto za Wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa mjadala na kupitishwa kwa bajeti. Ni kusutwa kwa nafsi? Ni kuchoka kweli? Sasa wanarudi Chenge na Zungu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
ukisema kuwafukuza unakosea mkuu, sikuwahi kusikia akisema wabunge wa upinzani akikaa yeye wasiingie ndani. ni wao wenyewe waliweka azimio (azimio la mbowe) kususia vikao atavyoongoza naibu spika.

wasuse wao alaf useme amewafukuza????? Acha kumuonea naibu spika.
 
Baada ya kuongoza karibu vikao vyote vya kujadili na kupitisha bajeti,Naibu Spika,Dr. Tulia Ackson,amechoka kimwili na kiroho. Anajipanga kuwapisha,kuongoza Bunge,wenyeviti watatu wa Bunge wakiwemo Chenge na Zungu.

Taarifa za kiintelijensia hapa Dodoma zinabainisha kuwa Dr. Tulia amewaambia watu wa karibu yake kuwa 'amesaidia vya kutosha na sasa anahitaji kupumzika'. Dr. Tulia anatajwa kama aliyetumika wakati wote wa bajeti 'kuwafukuza' Wabunge wa Upinzani kwakuwa Wabunge hao hawako tayari kuongowa nao Bungeni.

CCM na Serikali yetu tulimtumia Dr. Tulia ipasavyo katika kupunguza au kuondoa changamoto za Wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa mjadala na kupitishwa kwa bajeti. Ni kusutwa kwa nafsi? Ni kuchoka kweli? Sasa wanarudi Chenge na Zungu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
She has done an excellent Job! Job Welldone Mhe TULIA....Zungu, Chenge will follow your foot steps!
 
images-20.jpeg
 
Siasa za kususa ukitegemea magufuli atawaita mzungumze ikulu haipo.baba huyu ukisusa ugali anamwambia mama ole wako huo ugali umpe huyo aliye Susa.
 
Hii sumu ya fikra mnayolishwa na wabunge wa upinzani wanaotafuta umaarufu kwa nguvu ni mbaya sana.
Wewe ndio wale wa ndiooooo!!!! Njaa kichwani!! Hakuna Fikra kama mfalme......pale jumba jeupe
 
Baada ya kuongoza karibu vikao vyote vya kujadili na kupitisha bajeti,Naibu Spika,Dr. Tulia Ackson,amechoka kimwili na kiroho. Anajipanga kuwapisha,kuongoza Bunge,wenyeviti watatu wa Bunge wakiwemo Chenge na Zungu.

Taarifa za kiintelijensia hapa Dodoma zinabainisha kuwa Dr. Tulia amewaambia watu wa karibu yake kuwa 'amesaidia vya kutosha na sasa anahitaji kupumzika'. Dr. Tulia anatajwa kama aliyetumika wakati wote wa bajeti 'kuwafukuza' Wabunge wa Upinzani kwakuwa Wabunge hao hawako tayari kuongowa nao Bungeni.

CCM na Serikali yetu tulimtumia Dr. Tulia ipasavyo katika kupunguza au kuondoa changamoto za Wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa mjadala na kupitishwa kwa bajeti. Ni kusutwa kwa nafsi? Ni kuchoka kweli? Sasa wanarudi Chenge na Zungu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Mzee wangu kuna siku Roho zenu zitaitwa kwa muumba,kilio cha watanzania kitasikika sijui huyu HAKIMU MKUU wa watu wote mtamjibu nini??Hivi ilikuwa na taabu gani Upinzani kuijadili Bajeti kwa mapana na marefu??Mlidhani mnawakomoa Upinzani,kumbe kwa uhakika ni watanzania waliowachagueni,ten wale masikini ambao ndiyo asilimia 95 ya wapiga kura wote.Mnawakshifu kw ahoja za kipumbavu kabisa,ati Mtoto wangu nitampa jina Tulia,Sanamu ya Diomon iweke badala ya yule askari,tumeona wazee wakishauri wakapewa cha moto,waligombezwa kama watoto wadogo kisa ameongelea suluhu kati yao.

Mmewapongeza wanaotugawa,mkadhani tunaoumia ni UKAWA bila kujua kwamba Tanzania yetu sote.Vita vikianza haviangalii CCM wala upinzani.Hakika Mzee wangu kama mlimpa pongezi Tulia kwa kulifinyanga Bunge basi kiama chenu chaja.

Naona baada ya kulifinyanga Bunge mnaelekea Mahakamani ati Kijana miaka aliyopewa ni michache,Lugumi na wale wa TPA,Yona na Mramba mmewapa miaka mingapi??
 
Kazi imekamilika. Hiyo Intelojensia yako imeshindwa kuliona hilo mapema

Hongera sana,ila kumbuka maumivu hayatachagua upinzani au mwanaCCM wote tutalia na kuimba.Ukishajitambua utalia machozi ya damu
 
Tumezoea kuona bungeni kwenye kiti cha spika ambacho hutumika kuongoza bunge wakibadilshana viongozi mbalimbali kuongoza bunge kama vile spika ,naibu spika ,mwenyekiti n.k

Lakini kwa sasa ni mda umepita bila kuwepo kwa mabadilishano katika kiti cha spika ambacho hutumika kuongoza bunge, Amekua akionekana Naibu spika tu .Je viongozi wengine kama Spika na Mwenyekiti hawapo ili wampumzishe nae Naibu spika mana ni mda sasa hajapumzika.
 
Ni mkakati unepangwa ili wapinzani watakapo simamia msimamo wao wa kuto ingia bajeti hewa itapita kilaini bila kuhojiwa mapungufu.
Na wajinga wanaunga mkono bila kuona athari zake

NS ana ari ya kazi!😱😉
 
Back
Top Bottom