Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,958
First class angekuwa tayari kwa mijadala na si kunyamazishaDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
First class angekuwa tayari kwa mijadala na si kunyamazishaDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Labda wewe ulitaka wamfanyaje?? Kumbuka hata wakati wa mama anna makinda haya yalikuwepo lakini alikuwa mwepesi sana kuhitaji maridhiano yule mama pamoja na mapungufu yake mengine lakin haikuwah kutokea kama ilivyinsasaKatika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
"Mlimani baby"First Class wapi wewe, watu tunadata zake ni aibu.
Kuna mtu kijijini unaambiwa ana watoto 16 jee utasema ni mahiri kwa kukata mauno kijiji kizima? Usiwe unatoa mifano ya ki bwege kiasi hichoDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Hiyo first class yake ya sheria imesaidia nini kwenye jamii ya watz? Au inakusaidia wewe na wenzio wenye mawazo sawa na mwenye first class ya sheria? Umuhimu wa elimu bora ni kutatua matatizo/changamoto zinazokabili jamii,sasa yeye angeanza kutatua changamoto za kutokuelewana na wabunge wa ukawa,hapo hiyo first class yake ingekuwa na value mbele ya watz wengi wanaojielewa!!Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Katika kumtumia kwenu Tulia kama ulivyokiri hapo juu,je KUMTUMIA huko kuna faida gani za moja kwa moja kwa Taifa?Baada ya kuongoza karibu vikao vyote vya kujadili na kupitisha bajeti,Naibu Spika,Dr. Tulia Ackson,amechoka kimwili na kiroho. Anajipanga kuwapisha,kuongoza Bunge,wenyeviti watatu wa Bunge wakiwemo Chenge na Zungu.
Taarifa za kiintelijensia hapa Dodoma zinabainisha kuwa Dr. Tulia amewaambia watu wa karibu yake kuwa 'amesaidia vya kutosha na sasa anahitaji kupumzika'. Dr. Tulia anatajwa kama aliyetumika wakati wote wa bajeti 'kuwafukuza' Wabunge wa Upinzani kwakuwa Wabunge hao hawako tayari kuongowa nao Bungeni.
CCM na Serikali yetu tulimtumia Dr. Tulia ipasavyo katika kupunguza au kuondoa changamoto za Wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa mjadala na kupitishwa kwa bajeti. Ni kusutwa kwa nafsi? Ni kuchoka kweli? Sasa wanarudi Chenge na Zungu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Nawe pia jionee huruma.Katika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
Ni siajbu akaanza kuumwa ugonjwa wa kiherehere cha moyo kwa nafsi kumsuta.Kazi aliyotumwa imekamilika pia nafsi inazidi kumsuta
Acha uwongo wewe, ha ha hivi ndio umejitoa ufahamu kiasi hicho mbele ya kadamnasi?Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Kama alipata first class chuo kingine sio UDSM watu tunafahamu kuzidi unavyofikiriDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
pumba tupuKatika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
Wewe ulipata class gani? Umeisoma bajeti au unashangilia usilolijua?Dada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?
Kubishana na mtu asiejua maana first class ni shidaKijana,Dr. Tulia hajawahi kupata First Class. Tafiti vyema kabla ya kuongopa.
Mzee Tupatupa
Tehteh!sijui india wanatibu huo ugonjwa!!Ni siajbu akaanza kuumwa ugonjwa wa kiherehere cha moyo kwa nafsi kumsuta.
Ukiongeza elimu utajua kuwa hajashinda kwa kuwa na akili bali kwa kuwa yuko upande wa dolaKatika hili nawaonea huruma wana UKAWA,,,
Siamin kama kweli vichwa vyoote vile vya upinzani vimemshindwa huyu dada....
Uzuri wake ni kwamba ingizo hilo jipya linaiunguza nchi na cheche za moto wake zitakugusa wewe na ndugu zako!Tumeleta ingizo jipya. Si sawa na UKAWA mnaookoteza wazee waliojichokea kama Lowasa, Kingunge, Sumaye, Mgana Msindai, Hamisi Mgeja nk
Kuna DC Fulani aliingia kwenye mgogolo na kisha kupumzishwa kutoka wilaya fulani ya kasakazini mashariki baada ya kusema mwanasheria wake sijui ana degree ya nini vile nimesahauDada kichwa kweli. Kapata First Class ya Sheria Mlimani. Utalinganisha na kichwa kipi pale UKAWA?