only they know the truth. I can just conjecture. Kwa hiyo inawezekana labda kuna vi beef nje ya jf ambavyo vinaletwa humu jf. Au inawezekana labda hivyo vi beef vimeanzia humu humu jf na watu hawawezi kuambiana yaliyo mioyoni mwao kwa id zao za siku zote na hivyo kuibuka na id mbadala na kuanza kurusha vijembe vya hapa na pale. Again, this is all conjecture.
Only they know the truth. I can just conjecture. Kwa hiyo inawezekana labda kuna vi beef nje ya JF ambavyo vinaletwa humu JF. Au inawezekana labda hivyo vi beef vimeanzia humu humu JF na watu hawawezi kuambiana yaliyo mioyoni mwao kwa ID zao za siku zote na hivyo kuibuka na ID mbadala na kuanza kurusha vijembe vya hapa na pale. Again, this is all conjecture.
Hehehe! Kongosho umeona mbali.... Mie nipatie moja manake nimejitolea kumsaidia mrs ma2mbo kumwagia hao wezi wake...Hii industry ya ndoa imekuwa pasua kichwa.
Hapa nimeshaona business opportunity
Helmet za tindikali kwa wanaoibiana.
hehehehe Lizzy mie naanza hebu nambie hiyo signature iweje? FL is Married, married ,Married... no vacancy available or tatizo watu siku hizi hofu ya mungu imepotea Afrodenz wewe hebu sema hapo chini :biggrin:FL nimeolewa na nanihii sitaki kutongozwa :juggle:Watathubu basi. . . Kutongozana na kuflirt wamwachie nani?
Kama ni hivyo kazi kubwa sana ipo
Ngumi zikianza natimuaje?... Nashabikia huku nimesimama mlangoni..
Umeonae?... Mambo ya kuanza kujipaka caro light sahizi kwaajili ya kuondolea makovu mie wala siyawezi...lolHahahaha wewe nimekukubali!
Huchezi na reception yako
I reiterate, it is just conjecture in response to your question.
Do you think there is negative energy floating around?
Nasisitiza "kama ni hivyo"
I find the whole thing funny to tell you the truth
Okey dokey.
Hahaha! Mumewe hasumbui ila yeye ndo anasumbuliwa...Heeeh hili nalo jipya! Mumeo ni nani kwanza? Isije kuwa huyu anayenisumbua sumbua kila siku..
Mtu kaja na nintoke vipi ya aina hii, mie najichekea tu.
Ila siku hizi kuna muengezeko wa kiasi flani wa mada za aina hii...
Kaaazi kweli kweli.
Be careful of your surroundings and all....
Manake usije mwagiwa tindikali bure
Hahaha kwani si antics za mtandaoni hazitishi?