Wenye wanaume walokole tukutane hapa

Wenye wanaume walokole tukutane hapa

Changamoto gani mnapitia au kipato
wala sio kipato, changamoto kubwa tunazo kumbana nazo kutoka kwa ndugu zetu, wakija kwetu kututembelea wanashindwa kuendana na life style yetu.

Nilipata mgeni Shemeji yangu ni anapenda music vibaya mno tukitoka kwenda kazini huku nyuma anafungulia mziki sauti kubwa mala singeli mala bongo fleva wanangu hawazijui hzo.

unarudi kazini mtoto anakuimbia nyimbo mama mamaa, mwanaume mashine. na nyimbo nyingi za ovyo ovyo yaan shida tupu.

ukimkataza Shemeji anakuona kama unamnyima kusikiliza wakati Nyimbo zipo nyingi za kusikiliza tofauti na miziki hiyo
 
Kuwa mloloke na kuwa mshika dini ni mambo mawili tofauti kabisa.
 
Nadhani mtuunganishe na wanaume iwe ameokoka au la lakini ana mke ambaye ameokoka, nadhani kuna mjadala mrefu utaibuka hapa hasa kwa sababu baadhi ya wanaume au wanawake walokole kuwa matatizo makubwa ndani ya ndoa. Nitakuja na nyongeza kuwa mlokole au mwamini ni nani. Kuwa mlokole sio kusali kwa Apostle David, au kwa Gwajima.
Semeni wazi huko mnakoishi ndani humo. Kuna wengine wanasoma na kupita tu hapa maana wanayopitia ni makubwa kwa wanaume/wanawake wa "kilokole"
Wote muwe na hofu ya Mungu, ndo mtayashinda majaribu
 
Kuna ukweli eti wengi wa waume zenu huwa wanahi kuondoka kwa streess na kuwaacha wajane!
si kweli tena wanaishi maisha marefu sababu hawana stress wala wasiwasi maana tunajua, Kuishi kwetu ni Kristo na kufa ni faida
 
Walokole sio jina sahihi
Jina sahihi ni. WAAMINI AU WAOKOVU yani amebatizwa kwa Roho Mtakatifu
Kama ni mwanamke nawe umeokoka basi ni msaada sana katika maombi ya kila usiku na kufunga maana WAOKOVU mission yao ni kutenda kazi ya Bwana watu waokoke na kupata uponyaji
Ahsante Mkuu
 
Hongeraa mamy, I feel happy for you!! Mungu azidi kuwatunza
 
Mkiamua kuwa kitu kimoja mkaacha tamaa ndoa zina furaha sana. Biashara ya ooohhh siridhiki hiki natafuta nje ndo mushikeli huanzia hapo! Sio lazima uwe mlokole hata wa kawaida wapo wazuri.

Ila mi mlokole changamoto kwangu ingekuwa ile Suruali pana kama pepe kale, mashati ya kung'aa na kuteleza, ikiwa ni vitenge ni vile vyakuteleza daaahhh.
tena tupo smart SNA, tunajua kuvaa na kupendeza tuna mavazi ya heshima ila sio old model
Kuna wale wanaosimamaga na spika barabrani alfajiri.

Hahahahahahahahahaha
 
Hao washika dini kwa michepuko ya ukimya kimyaa
Ni nooowwmaaa!!!!
Wakiwa makwao hamna kama wao ogopa saaana Sumu Baridi
 
Back
Top Bottom