ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,709
- 127,638
Hivi Vale huwa unausalia mkate wa usiku?[emoji12]Tena mkisali kabla ya kula tunda mechi inakua tamu haswa...
Utamu wote unausikia na mikito heavy
Hivi Vale huwa unausalia mkate wa usiku?[emoji12]Tena mkisali kabla ya kula tunda mechi inakua tamu haswa...
Utamu wote unausikia na mikito heavy
Cheka tu, ila usali kabla ya kumega mkate wa usiku.
Hivi kumbe we husali? Ndio maana wanaume wanalalamika eti hakuna lubricant ya kutosha, sali sana[emoji12]Yaani unasali kabla ya kuzini!!! Kweli we noma.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji125]Huwa tunanena kwa lugha tunakemea
Kusali kabla na baada ya kula Ni muhimu sana.Acha utani na mungu wewe mungu hadhiahakiwi
Mimi sifanyi tabia mbaya.Hivi kumbe we husali? Ndio maana wanaume wanalalamika eti hakuna lubricant ya kutosha, sali sana[emoji12]
Ndio maana inatakiwa wote muwe wacha Mungu, haijalishi mlokole, mroma, mshia, msuni, msabato nk.Nadhani mtuunganishe na wanaume iwe ameokoka au la lakini ana mke ambaye ameokoka, nadhani kuna mjadala mrefu utaibuka hapa hasa kwa sababu baadhi ya wanaume au wanawake walokole kuwa matatizo makubwa ndani ya ndoa. Nitakuja na nyongeza kuwa mlokole au mwamini ni nani. Kuwa mlokole sio kusali kwa Apostle David, au kwa Gwajima.
Semeni wazi huko mnakoishi ndani humo. Kuna wengine wanasoma na kupita tu hapa maana wanayopitia ni makubwa kwa wanaume/wanawake wa "kilokole"
Kuna ukweli eti wengi wa waume zenu huwa wanahi kuondoka kwa streess na kuwaacha wajane!Tena mkisali kabla ya kula tunda mechi inakua tamu haswa...
Utamu wote unausikia na mikito heavy
Haaa mi najua wanafanyana kwa aibu ili wasifanye machukizoAmna gwaride linachezwa kama kawa tu,hapo ulokole haupunguzi utamu
Kwani kufanya mapenzi ni tabia mbaya, unatimiza hitaji la nature.Mimi sifanyi tabia mbaya.
Naunga mkono hoja,Aman iwe kwenu wapendwa,
Leo nataka nizungumze na wanawake wenzangu ambao wameolewa na wanaume washika dini (walokole) sjui kwa waislam wanaitwaje.
Binafsi namshukuru Mungu nimeolewa na mwanaume mshika dini tena mwenye hofu ya Mungu. Nimekua na maisha yenye furaha maana mimi na hubby wangu wote tunahofu ya Mungu.
Kwakweli tangia niingie kwenye ndoa sijawahi kujuta na tumekua waaminifu sana japo wanasema usimwamini mwanaume lakini huyu wa kwangu. Namshukuru Mungu si mpenda anasa tena muwazi kwa kila kitu. Pesa yake ya kwangu, changu ni chake.
Japo changamoto ni nyingi ukiangalia bado sisi ni vijana Mungu ni mwema tutazishinda.
Ushauri wangu kwa wanawake wenzangu ambao hamjaolewa tulieni. Acheni kuchagua sna mwanaume wa kuoa wewe weka sharti awe mcha Mungu. Mambo mengine atatafuta baadae sio mnakimbilia mwanaume mwenye pesa, sijui alie soma.
Mkitaka ndoa yenye amani na upendo daima, wote muwe mnahofu ya Mungu.
Ahsante
Changamoto gani mnapitia au kipatoAman iwe kwenu wapendwa,
Leo nataka nizungumze na wanawake wenzangu ambao wameolewa na wanaume washika dini (walokole) sjui kwa waislam wanaitwaje.
Binafsi namshukuru Mungu nimeolewa na mwanaume mshika dini tena mwenye hofu ya Mungu. Nimekua na maisha yenye furaha maana mimi na hubby wangu wote tunahofu ya Mungu.
Kwakweli tangia niingie kwenye ndoa sijawahi kujuta na tumekua waaminifu sana japo wanasema usimwamini mwanaume lakini huyu wa kwangu. Namshukuru Mungu si mpenda anasa tena muwazi kwa kila kitu. Pesa yake ya kwangu, changu ni chake.
Japo changamoto ni nyingi ukiangalia bado sisi ni vijana Mungu ni mwema tutazishinda.
Ushauri wangu kwa wanawake wenzangu ambao hamjaolewa tulieni. Acheni kuchagua sna mwanaume wa kuoa wewe weka sharti awe mcha Mungu. Mambo mengine atatafuta baadae sio mnakimbilia mwanaume mwenye pesa, sijui alie soma.
Mkitaka ndoa yenye amani na upendo daima, wote muwe mnahofu ya Mungu.
Ahsante
Vipi wewe mlokole wa kanisa ganiMpe hai huyo mlokole mwenzangu
Kitu gani???Lakini
......!!?
Kuna kitu hujasema.
Fanya maombiKama kuna anaetaka bwana mlokole mie nipo jamani