Wapo wengi Sana sema wengi wao wameshazalishwa.Na mm nasaka wife wa kilokole sasa
Triple A
Hilo gundu linipitie mbaliWapo wengi Sana sema wengi wao wameshazalishwa.
Hampendwi na nani???Wanaume Walokole hatupendwi sijui kwanini
Yap,nimekuelewaaawala sio kipato, changamoto kubwa tunazo kumbana nazo kutoka kwa ndugu zetu, wakija kwetu kututembelea wanashindwa kuendana na life style yetu.
Nilipata mgeni Shemeji yangu ni anapenda music vibaya mno tukitoka kwenda kazini huku nyuma anafungulia mziki sauti kubwa mala singeli mala bongo fleva wanangu hawazijui hzo.
unarudi kazini mtoto anakuimbia nyimbo mama mamaa, mwanaume mashine. na nyimbo nyingi za ovyo ovyo yaan shida tupu.
ukimkataza Shemeji anakuona kama unamnyima kusikiliza wakati Nyimbo zipo nyingi za kusikiliza tofauti na miziki hiyo
Sipati picha asubuhi mkiamka kwa pamoja mnafanya maombi kwanzawala sio kipato, changamoto kubwa tunazo kumbana nazo kutoka kwa ndugu zetu, wakija kwetu kututembelea wanashindwa kuendana na life style yetu.
Nilipata mgeni Shemeji yangu ni anapenda music vibaya mno tukitoka kwenda kazini huku nyuma anafungulia mziki sauti kubwa mala singeli mala bongo fleva wanangu hawazijui hzo.
unarudi kazini mtoto anakuimbia nyimbo mama mamaa, mwanaume mashine. na nyimbo nyingi za ovyo ovyo yaan shida tupu.
ukimkataza Shemeji anakuona kama unamnyima kusikiliza wakati Nyimbo zipo nyingi za kusikiliza tofauti na miziki hiyo
Umenchekesha mkuuFursa hizi [emoji23] [emoji23]
sio asbh tu, tukiamka na tukilala tufanya maombi.Sipati picha asubuhi mkiamka kwa pamoja mnafanya maombi kwanza
Wanabiringishana sana tuHaaa naimani walokole hawafanyani zile style ngumu ngumu na wao ni kifo cha mende tu
Mack; SIYO mungu, ni Mungu. Sawa, mpendwa?mungu azidi kuwabariki
Flulanga; say waMungu, NOT wamungu! Sawa, Ndugu?Bwana asifiwe mtumishi wamungu
Korie, si unajua kuwa kuna TOFAUTI ya "aibu maana"kati ya mungu na Mungu? Nakukumbusha tu kuwa haya maneno mawili yanafanana kwenye MATAMSHI tu.Acha utani na mungu wewe mungu hadhiahakiwi
sawa dada yangu kipenziMack; SIYO mungu, ni Mungu. Sawa, mpendwa?