Wenye wanaume walokole tukutane hapa

Wenye wanaume walokole tukutane hapa

Mpenzi endelea hivyo hivyo kukataa kuwa na ndoa ya "kigroup". Ooh usimwamini mwanaume, sijui wanaume wote blah blah. Kila mtu apambane tu na mumewe na sio kujumlisha na waume wa wenzie. Maana tunapenda tu kujipa matumaini kuwa wanaume wote wapo sawa ili hata akiwa abuser, basi unavumilia tu kisa wote wapo hivyo hivyo eti teh. Mbarikiwe sanaaaaa

"A woman's heart should be so hidden in Christ, that a man should have to seek HIM first to find her".
Naunga hoja mkono
 
Mkiamua kuwa kitu kimoja mkaacha tamaa ndoa zina furaha sana. Biashara ya ooohhh siridhiki hiki natafuta nje ndo mushikeli huanzia hapo! Sio lazima uwe mlokole hata wa kawaida wapo wazuri.

Ila mi mlokole changamoto kwangu ingekuwa ile Suruali pana kama pepe kale, mashati ya kung'aa na kuteleza, ikiwa ni vitenge ni vile vyakuteleza daaahhh.
 
Nadhani mtuunganishe na wanaume iwe ameokoka au la lakini ana mke ambaye ameokoka, nadhani kuna mjadala mrefu utaibuka hapa hasa kwa sababu baadhi ya wanaume au wanawake walokole kuwa matatizo makubwa ndani ya ndoa. Nitakuja na nyongeza kuwa mlokole au mwamini ni nani. Kuwa mlokole sio kusali kwa Apostle David, au kwa Gwajima.
Semeni wazi huko mnakoishi ndani humo. Kuna wengine wanasoma na kupita tu hapa maana wanayopitia ni makubwa kwa wanaume/wanawake wa "kilokole"
Nasubiri
 
Najaribu kuimagine his ways kwenye 6x6 zitakuwa na reference za quotations toka Chorintians mara Psalms hadi revelation
 
vipi kwenye kugegeda si atakuwa anagegeda kilokole?
 
Mkiamua kuwa kitu kimoja mkaacha tamaa ndoa zina furaha sana. Biashara ya ooohhh siridhiki hiki natafuta nje ndo mushikeli huanzia hapo! Sio lazima uwe mlokole hata wa kawaida wapo wazuri.

Ila mi mlokole changamoto kwangu ingekuwa ile Suruali pana kama pepe kale, mashati ya kung'aa na kuteleza, ikiwa ni vitenge ni vile vyakuteleza daaahhh.



mwajuma weeeeeeeeeeeeeeeeeeee uwiiiiiiii nimechekaaaaaaaaaaaaa!hujakutana wamevaa suti zao za mtumbaa utalia dah!those dys jamn dah!eti pepe kale hahaha nalala mie
 
Back
Top Bottom