Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,130
- 6,371
Kwahiyo ndiyo serikali ifanye wanavyotaka wao! Si wagome tu.Usiongee kama umekatwa kichwa nikupe mfano mdogo. Wilaya ya Ubungo ina Zahanati,Vituo vya afya na hospital 261 hiyo ilikua mwaka 2023 kati ya hizo hospital,vituo vya afya na zahanati za serikali hazizidi 35 sasa jiulize wakiamua kufunga watu watatibiwa wapi. Kama ungewahi kuhudhuria mikutano ya Aphtar hata mmoja ungeelewa umuhimu wa sekta binafsi kwenye afya nchi hii vingenevyo watu wangekufa kama kuku