makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,261
- 81,282
Kila mtu alimu"insipire" kiuoande wakeAsante mkuu, I knew nothing about it, ila mimi kwenye hotuba zake humsikia nyimbo za bob marley zilimfanyanya apende siasa wakati yupo university
Kila mtu alimu"insipire" kiuoande wakeAsante mkuu, I knew nothing about it, ila mimi kwenye hotuba zake humsikia nyimbo za bob marley zilimfanyanya apende siasa wakati yupo university
Kuna kaukweli fulan juu ya hili, kitambo nimekuwa nafatlia kuna vtu vinanivuruga boiBUT KUNA KA UKWELI KUHUSU DRE NA CULT ZA ILLIMINT KUHUSU GAY....MANY SAID THAT DRE USED TO *****HOMOSEXUAL GUYS BACK THEN. NDIO MAANA ILLUMI WAKAMPA MAFANIKIO UYAONAYO SASA. AND PAC KNEW THIS BUT KWAKUWA ALIKUWA MSELA ALIKUWA ANANYAMAZA BUT AFTER SNOOP ISSUE NDO IKABIDI AMCHANE...JUST CHECK SYMBOL YA (BEATS BY DRE) NI 6 NUMBER
R.i.p eazy eIssue ya Dre na mambo ya kishoga alianzisha marehemu Eazy E hata kwenye nyimbo yake ya "real muthafuckin G's" kamdiss Dre kwa kumwita "she thang".Na kama Easy kamwita hivyo kutakua kuna kaukweli maana walikua wote NWA kwa hiyo anamjua through and through....So inawezekena kuhusu yeye kua illuminati sina uhakika lakini mafanikio yake kuna genius mmoja anaitwa Jimmy ambaye nafikiri ni sound engineer ndiye anamtajirisha Jamaa.
NB re ni overrated na huondoka na sifa ambazo hua hata hastaili.
NdioJada pinket?
Kwa maana hiyo wewe ndio wengi?umejuaje kama sio wengi
mimi ni mmoja kati ya niliokuwa sifahamu yaliyotajwa kuhusu 2pac
Alizingua sana...Uzur mchizi hakuwa mtu wa kuzunguruka mbuyu, zingua nikuchane.. Ila dre alizingua kwenye ishu ya snoop..
Unajua maana ya opinions!?!?Let them talk man. Mpunga uko bank halafu mTanzania anamwona Dre michosho.
Hapana nakubali Dre anamikono mizuri but he is slightly overrated.You ain't gonna take away the fact that Dre has been a very good producer
The chronic
Detox
Snoop mwongo... Jamaa alianza kuvuta bhangi toka teenager.Snoop anasema bangi yake ya kwanza kuvuta aligongewa na tupac.
Ni sahihi, acha unaaSi sahihi kwamba wengi hawayajui hayo uliyoyaainisha
Stress. Vumilia tu maana huyu ndio tunae hivo, mpaka 2025, maana 2020 jamaa wanampa, wanampa tena!Ukweli mie hupenda sana mtu atueleze kuhusu masuala ya maendeleo yetu kama nchi na jinsi yanavotuathiri sisi watanzania na kama kuna maeneo ya kujirekebisha tufanyeje. Lkn wkt mwingi nashangaa watu wengine wanaleta mada za wamarekani wavuta bangi waliouana huko na kwa jinsi gani walivuta bangi zao wakapigana risasi na kuuana. Sasa haya mambo ya kishenzi yanatusaidiaje sisi katika maisha yetu huku? Naamini haya ni mambo ya kuiga maana hata mtoa mada katika ukoo wao naamini Tupac hukuwah kumwona na ukwel ni kwamba hakujui na hata ndugu zake hawakuelewi wewe ulieko sijuo wap huko. Na kama ungekujua inakusaidiaje wewe?? Naomba tutumie akili zetu vizuri kwa maendeleo yetu jaman watanzania. Kaa fikiria kabla ya kuandikia
Hahahahaaaaaaaa et stressStress. Vumilia tu maana huyu ndio tunae hivo, mpaka 2025, maana 2020 jamaa wanampa, wanampa tena!
Huko kwenye uteneeger bangi yake ya kwanza kuvuta alitembezewa na 2pac.Snoop mwongo... Jamaa alianza kuvuta bhangi toka teenager.
Yes dre yupo huko na ndio wakampa mafanikoo hayo uyaonayo. Hata huko mbele wanasema Dre is overrated Ana mafanikio ambayo hakutakiwa kuwa nayo. Na sio kwamba watu wanamuonea wivu No!Kuna kaukweli fulan juu ya hili, kitambo nimekuwa nafatlia kuna vtu vinanivuruga boi