Uko tru mkuu and he still aliveTupac ni nabii wa hip hop aliye yatoa maisha yake kwa ajiri ya black american uhususan thugs
Ukiona 50 cent, lil wyne, na wengineo wengi wako juu ni matunda ya huyu jamaa
Mama ake ndye alimbadilishaAsante mdau but hata hilo sio jina lake halisi.. jina lake la kuzaliwa ni Lesane Parish Crooks
tupac is alive and is in cuba,
source mimi mwenyewe:cool2:
Sa kwani ukiwa wewe ndio wengi?umejuaje kama sio wengi
mimi ni mmoja kati ya niliokuwa sifahamu yaliyotajwa kuhusu 2pac
Na ww kwa nini unakula sana ugali.....infact is all about choice and flavour
Whatever the case, TUPAC has left US so WE have to accept ittupac is alive and is in cuba,
source mimi mwenyewe:cool2:
Jada pinket mke wa wil smith au??Ongezea JADA alikuwa kipenzi chake sana na walisoma shule moja
Ndio Kiongozi.Jada pinket mke wa wil smith au??
he was a prophet,,mashairi ya 2pac sio ya kawaida kbs na yataishi milele bila kuchujamm ni shabiki wa tupac, ila nikisikiliza mashairi yake najiuliza how a young boy died at 25 could write such lyrics. he was genius