Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,110
- 37,645
Tanzia.
Mutulu Shakur, Mwanaharakati wa haki za Weusi wa Marekani, Mfungwa alietumikia Miaka 35 Jela Kati ya 60 aliohukumiwa, Baba wa kufikia wa Mkali asiyechuja Tupac Shakur amefariki!
Amefariki nyumbani akiwa na familia yake. Enzi za uhai wake alikuwa Mwanachama wa New Afrikan Movement na pia ni Legendary wa Black Liberation Army.
Mwaka jana May 2022, mwanasheria wake Brad Thomson, aliweka wazi kuwa Madaktari wa Shirikisho la Magereza la Marekani wamemfahamisha kuwa Mutulu amebakisha miezi 6 tu ya kuishi.
Amefariki usiku wa jana akiwa na miaka 72. Anaenda kuungana tena na Mama Afen Shakur pamoja na Mwanae wa kufikia Legendary Tupac.
Mutulu Shakur, Mwanaharakati wa haki za Weusi wa Marekani, Mfungwa alietumikia Miaka 35 Jela Kati ya 60 aliohukumiwa, Baba wa kufikia wa Mkali asiyechuja Tupac Shakur amefariki!
Amefariki nyumbani akiwa na familia yake. Enzi za uhai wake alikuwa Mwanachama wa New Afrikan Movement na pia ni Legendary wa Black Liberation Army.
Mwaka jana May 2022, mwanasheria wake Brad Thomson, aliweka wazi kuwa Madaktari wa Shirikisho la Magereza la Marekani wamemfahamisha kuwa Mutulu amebakisha miezi 6 tu ya kuishi.
Amefariki usiku wa jana akiwa na miaka 72. Anaenda kuungana tena na Mama Afen Shakur pamoja na Mwanae wa kufikia Legendary Tupac.