Wengi hamjui protocol, Jana Rais hakutambulishwa,aliitwa mbele ahage mwili kwa taratibu za kiislamu na aondoke au azungumze,je mwanamke yupi uzungumza

Wengi hamjui protocol, Jana Rais hakutambulishwa,aliitwa mbele ahage mwili kwa taratibu za kiislamu na aondoke au azungumze,je mwanamke yupi uzungumza

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
 
Screenshot_20260228-234806.png
 
Yaani taratibu za kiislamu zitumike kanisani? Anyway, kwa wenye utambuzi wa mambo tumeshasema mara kadhaa humu jukwaani, tunajua ni suala la muda tu ila wenzake wanaenda kumtosa.

Angekuwa na maarifa angewageuka kabla hawajamgeuka.
 
Kumbe ndo alipata nafasi pale tu ila wamemkataa kiaina aisee mbulula huwezi elewa, mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia suluuh,
 
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!

Mbona wa magufuli alizungumza?
 
Hope somo la kwanza alilisikia na alilielewa hakukua na uchaguzi October 29 huo ndio ukweli
 
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze
 
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
Mrundi at his best in Swahili.
 
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
Kuna option moja tuu.. Azungumze kisha aage! Hiyo ya kuaga kisha aamue kuzungumza ni mtego wa kiprotokali
 
mkuu serikali haina dini msichanganye huyo mama alitakiwa kwenda hadi mazishini sio kuaga tu na aseme neno
 
Kwanza tangu lini kwa uislamuni wakaaga maiti?

Pili lini mwanamke wa kiislamu akazungumza kwenye msiba wowote?

Hapo nipo utaamini yakuwa KATOLIKI sio dhehebu uchwara limejaa wered mnoooo!

Yaani alichokitamka faza Kitima ilikuwa ni kumpa salamu yakuwa hawamtambui,
Kwanza kusema atatambuliwa kwa utaratibu mwingine UPI UO mbona hatukuuona? Badala yake tulimwona anaitwa kwenda kuaga maiti na kutoa Mkono wa pole? Msisaau utambulisho wa kiitafaki anae Anza ni mkuu wa nchi, unaposema atatambulishwa kwa upekee mbona hutukuona?

Mimi ulipotamka hivyo nilijua labda atatambulishwa na kadinali Rugamwbwa baada ya wewe KUMALIZIA kuwatambulisha viongozi na watawa sikuona hivyo Badala yake ajenda ya utambulisho iliisha ukaingia salamu za pole na kuaga mwili.ahahahaha wa kwanza ulimpa nafasi either aongee au asepe nae akasepa chapu.

Kwa ufupi Liko tatzo kati yenu na yeye na namsharini kaeni mwongeze!
Ahage, ndiyo madudu gani.
 
Back
Top Bottom