Rais Samia mwema sana , alimtembelea Nairobi, alikutana naye Ubelgiji wakati wasaidizi wa ikulu walimwambia ampotezeee akagoma, mwishoni Lisu akamtenda ubaya kwa kumtukana balaa
2. Rais samia aliamua kuwaruhusu warudi na aliwaliapa malipo yote ya Lisu na wapapmbe wote wa chadema laini cha ajabu shukran yao ni matusi
3. Aliwalipa hela ya ruzuku hadi wakapata jengo la ofisi lakini wameishia kumtukana
4. Rais samia akawaruhusu wafanye maaandamano bado wakaamua kumtukana
5 Rais samia akaomba 4 R akahudhuria sherehe ya bawacha bado wamemtukana
6 Rais samia kawaomba tufany siasa za staha wakaanza matusi, yule mvuta bangi Mdude Nyagali kiboko ya nyigu , na wadada huko mitandaoni wakazidisha matusi kawavumilia
7 . Rais samia alikutana na dada shetani Mange kimambi, Mange akaomba kibahasha akapewa lakini akaishia kutukana
8. Rais samia aliwaachia mafisadi hela zao ili wafanye biashara lakini waijenge nchi yao wamegeuka kufadhili wapinzani wake kisa wivu tu
USHAURI
Binadamu afugiki na afadhiliki, Uraisi ili kazi iende lazima uwe mkono wa chuma kweli kweli
1. Wanaotaka kuleta chokochoko inatakiwa hadi bibi zao waanze kupata siku zao wakikumbuka waliyoyapata wajukuuu wao, wa risasi apate zawadi ya risasi , wa kufungwa afungwe maisha , wa kunyongwa iwe ndani ya miezi 2 toka hukumu , kesi mpaka rufaa iwe miezi 4 tu isizidi, Yaani toka kukamatwa , kesi , rufaaa mpaka kunyongwa ni miezi 6 tu jumla
2. Punguza wafanyakazi wa serikali wabaki wachache wenye ufanisi haswa, wengine wengi wawe na nidhamu , wazembe fukuza
3. wazembe wala rushwa ni kufungwa na kufilisiwa haraka sana yaani mtu aogope hela ya serilkali
4BANA wakwepa kodi hasa hasa makampuni makubwa ya wageni ya madini wanatuchezea sana
4 Kwenye ukandarasi kuna wizzi na uzembe sana mfano barabara ya mwenge tegeta ilitakiw iwe imeisha 2024, Bababara yetu ya bypass uyole mwaka wa nne mkandarasi yupo site sioni chochote ( Huku nipe kazi ya kuwachomesha maana nawajua sana nisilipwe chochote ila hela inayookoka tujenge barabara za vijijini ni aibu maeneo nyeti ya uzalishaji barabara za vumbi, au tujenge refinery
5 Mwigulu anatatua kero nyingi sana, je mwenezi CCM, wakuu wa mikoa na wilaya wapo wapi ? ina maana hawatoshi fukuza wote na wafunge jela ambao wana rundo la kero hawazazishughulikia