Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Hivi JF siku hizi ndo pamekuwa mahali pa kutemea uongo na umbea??
Nijuavyo mimi JF ni mahali pa kupashana habari na kuelimishana, sasa watu wakianza kuleta habari za uongo kama hizi.........mtalifanya jukwaa letu liaonekane kama vile ni sehemu ya upotoshaji tu!!
Nijuavyo mimi JF ni mahali pa kupashana habari na kuelimishana, sasa watu wakianza kuleta habari za uongo kama hizi.........mtalifanya jukwaa letu liaonekane kama vile ni sehemu ya upotoshaji tu!!