Kwani ukiappologise kuna nini?? huwezi kututusi tukakuacha madameXUsiigeuze kuwa ni 1 to 1 argument please....
Duuh, hajijui masikini men are dogs, wakishamaliza hamu wanamtupa!
Kwani ukiappologise kuna nini?? huwezi kututusi tukakuacha madameX
mimi najiuliza hasa, hiki kizazi cha sasa vipi ? Kwa maana wanauchukulia uchumba kama ni kitu gani ?
Wewe umeshavishwa pete mara kibao, ndoa hatuioni.lakini haukomi , bado tu unaendelea na mipete yako !
Umegeuzwa kama big g , yaani mimi nasema inatosha wema.
Kumbuka "pete si ndoa" hata huyo nae atakuacha mara utamu wa jojo utakapokwisha !
View attachment 55255
Duuh, hajijui masikini men are dogs, wakishamaliza hamu wanamtupa!
mama hapa umetudhalilisha,we're dogs? Even your dady u call him a dog? Hata wewe unalalwa na mbwa'? Vp tena bint make up.
Wanasemaaa, ''Aisifuye Mvua imemnyea''
mtoa mada ucpende kuchukulia habari juu juu,hiyo ni muv ya wema wanarekodi wala haihucian na mapenzi ya kweli,pili hata kama ingekua kweli mwacheni maisha yake hayawahusu jamani,tatu kama alivyosema mtu hapo juu huku mtaani wapo wengi tena sana bt kwa kua cio mastaa hakuna media inayowafuatilia.MWACHENI MTOTO WA WATU AFANYE MAISHA YAKE KILA CKU YA WENZENU YENU MTAYASEMA LINI?
Issue ya wachumba hapo sawa lakini linapokuja suala la kutoka na wanaume mbalimbali hapo inawezekana mrembo wa watu kila akiwa kwenye relationship anakimbiwa, kitu kizuri kwa Wema yupo open (real) katika maisha yake kiasi kwamba akiwa na mtu mambo hadharani kiasi kwamba possibility ya kuwa na mahusiano na watu wawili kwa wakati mmoja inakuwa ngumu kama baadhi ya watu hivyo ipo siku atapata wake wa ubani kwani kama alivyochangia BADILI TABIA kwamba hata huku uraiani wengi tu wamemfunika Wema tatizo si mastaa. NI HERI MTU AMBAE YUPO OPEN KWENYE RELATIONSHIP KULIKO YULE AMBAE HAJULIKANI
Mimi najiuliza hasa, hiki kizazi cha sasa vipi ? Kwa maana wanauchukulia uchumba kama ni kitu gani ?
Wewe umeshavishwa pete mara kibao, ndoa hatuioni.Lakini haukomi , bado tu unaendelea na mipete yako !
Umegeuzwa kama BIG G , yaani mimi nasema inatosha Wema.
Kumbuka "pete si ndoa" hata huyo nae atakuacha mara utamu wa jojo utakapokwisha !
View attachment 55255
Una uhakika kuwa yuko open...unawajua wanaume wake wote? Unamjua anayemgharimia kwa sasa?