Mimi najiuliza hasa, hiki kizazi cha sasa vipi ? Kwa maana wanauchukulia uchumba kama ni kitu gani ?
Wewe umeshavishwa pete mara kibao, ndoa hatuioni.Lakini haukomi , bado tu unaendelea na mipete yako !
Umegeuzwa kama BIG G , yaani mimi nasema inatosha Wema.
Kumbuka "pete si ndoa" hata huyo nae atakuacha mara utamu wa jojo utakapokwisha !
View attachment 55255
Wewe umeshavishwa pete mara kibao, ndoa hatuioni.Lakini haukomi , bado tu unaendelea na mipete yako !
Umegeuzwa kama BIG G , yaani mimi nasema inatosha Wema.
Kumbuka "pete si ndoa" hata huyo nae atakuacha mara utamu wa jojo utakapokwisha !
View attachment 55255