nikiwa na mtoto kama huyu yaani namuwekea sumu ya panya ....
Mh kwa kweli hata mie nshayachoka ya Wema jaman, akha hana jipya tena, mwachieni maisha yake, huko global panatosha kumdiscuss huku tuendelee na yenye maana. Ya wema muachie Wema, anajijua mwenyewe na mambo yake.......
Duuh, hajijui masikini men are dogs, wakishamaliza hamu wanamtupa!
hulali?
njoo nikulishe pm lol
ndio naanza kusinzia
nampenda sana huyo jamaa wa avatar yako,
wote wanaompenda huyo
huishia na kunipenda na mimi pia lol
sasa wewe funguka tu
usione aibu lol
wote wanaompenda huyo
huishia na kunipenda na mimi pia lol
sasa wewe funguka tu
usione aibu lol
Leo assumptions zangu zimekuwa proved.
Watu humu mnatumia avatar kuvutia opposite sex...aka kuuza sura.
Kweli kabisa The Boss wewe ni mmoja wa watu maharufu humu JF sababu ya avatar
assumption zako zina tatizo
wewe unampenda Denzel lakini 'hunipendi mimi '
naweza sema wewe ni 'exceptional case' lol
au ni siri yako moyoni? lol
anyway jokes aside mbona kuna watu wanatumia avatar za
watu weengi wenye kupendwa na wadada
mfano Obama, Drake,Taye Diggs na wengineo but sio maarufu jf?
behind my avatar watu wanajua i am charming and i have a good sense of humor for real
halafu i dont take the avatar thing that serious...
i was teasing her
mimi simpendi Chavez but i like you a lot
go figure
Mh. Hivyo eeeh.
Yawezekana kwa kuwa unaonekana mpole ukilinganisha na Nyani Ngabu ambaye hana huruma akiamua kutupa za uso aangalii wewe ni she or he anaweza aka comment mpaka ukaamua ku log off.
Hapa nilipo nshaanza kutetemeka maana akiiona hii comment nimekwisha. Lol.
kuna kitu umeongea hapa
na i am not sure hata wewe kama unajua kuwa umeongea nini lol
Mh. Hivyo eeeh.
Yawezekana kwa kuwa unaonekana mpole ukilinganisha na Nyani Ngabu ambaye hana huruma akiamua kutupa za uso aangalii wewe ni she or he anaweza aka comment mpaka ukaamua ku log off.
Hapa nilipo nshaanza kutetemeka maana akiiona hii comment nimekwisha. Lol.
Wewe nakupenda bana na kamwe siwezi kukupa makavu live kama viwavi jeshi wengine.
Hivi unajua kuwa I am your number one fan? Napenda sana unavyompenda mumeo.
Wewe nakupenda bana na kamwe siwezi kukupa makavu live kama viwavi jeshi wengine.
Hivi unajua kuwa I am your number one fan? Napenda sana unavyompenda mumeo.
unampenda sana kwa anavyompenda mumewe lol
how lucky her hubby is?
mpaka anapata fans na sio wezi?
unampenda sana kwa anavyompenda mumewe lol
how lucky her hubby is?
mpaka anapata fans na sio wezi?
Boss... nimesema "Napenda sana unavyompenda mumeo"
Siyo nampenda yeye anavyompenda mumewe. Napenda jinsi anavyompenda mumewe.
Ni sawa tu na kusema napenda anavyovaa au napenda anavyotabasamu au napenda anavyotembea.