mabina
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 216
- 26
wema hajakosea chochote nyie kwani mkioga mnakuwa mmevaa minguo yenu??????????????????
vijiba vya roho vitawaua
Hivi nilifirki JAMII FORUM ni kwa great thinkers!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kumbe hata kama hawa nawenyewe wamo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli kwenye msafara wa MAMBA KENGE hawakosi. Sijui kama mtu na AKILI zake timamu anaweza kuoga kweupe na kila mtu akamuona. Naomba tuonekane tofauti basi ili tjitofautishe na Udakuuuuuuuuuuuuuuuuuu, WE ARE A GTREAT BTHINKERS LET WER BRING THE POINTS TO EDUCATE & CORRECT OTHERS