Wema Sepetu - Hivi uzuri ni kukaa uchi mbele ya kadamnasi????

wema hajakosea chochote nyie kwani mkioga mnakuwa mmevaa minguo yenu??????????????????
vijiba vya roho vitawaua

Hivi nilifirki JAMII FORUM ni kwa great thinkers!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kumbe hata kama hawa nawenyewe wamo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli kwenye msafara wa MAMBA KENGE hawakosi. Sijui kama mtu na AKILI zake timamu anaweza kuoga kweupe na kila mtu akamuona. Naomba tuonekane tofauti basi ili tjitofautishe na Udakuuuuuuuuuuuuuuuuuu, WE ARE A GTREAT BTHINKERS LET WER BRING THE POINTS TO EDUCATE & CORRECT OTHERS
 
siyo wema peke yake, ivi wanenguaji wa bendi hamuwaoni? mamiss hamuwaoni, wasanii wa filamu hamuwaoni, jamani taifa letu limekosa kitengo cha ukemeaji? mimi nawasiwasi na BASATA kuwa wale viongozi watakuwa hawajatulia ndio maana wanapenda wanenguaji wakae uchi, sasa imefikia hatua wanakaa uchi wala hakuna anayekemea,si TAMWA wala TGNP hakuna anayekema udhalilishwaji wa mwanamke unaofanyika kila kukicha, na matokeo yake wamekuwa vinara wa kuzungumzia siasa. wananikera mimi hawa waliojipa dhima hii wanapouza sura kwenye vyombo vya habari na wakati masula nyeti ya kumomonyoka kwa maadili ktk jamii yetu hawaifanyi. kwa ufupi inakera. tunahitaji serikali itoe tamko ili sisi wenyewe wananchi tuwashughulikie

udhalilishaji unaouzungumzia ni upi hapa? mi sioni kama wanawake wanadhalilishwa wakati wenyewe ndio wanaoamua kukaa uchi, wanajidhalilisha wenyewe. Ushaona wanaume wa kibongo from wanenguaji to whoever anakaa uchi kipumbavu? Nadhani umefika muda wanawake wajiheshimu, wapo so insecure kiasi kwamba wanaamua kuvaa nguo ambazo zitawaonyesha maumbile yao ili kupata attention ya WANAUME.
 
Sio poa kulingana na maadili ye2 watanzania,WEMA ni mzuri ila mambo yake mengine kama hayo ya kukaa uchu na vivazi vya kuexpose mwili wake vinanikera,vaa kwa kujisitiri maeneo mengine umwonyeshe Diamond mkiwa wote getho..
 
Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi mbele za watu but wema katika tamasha la fiesta Morogoro nguo aliyovaa ilikuwa inapanda kiasi cha kufanya sehemu ya chini ya makalio yake ionekane.....ilim'bidi kila mara awe anaishusha hiyo nguo, najiuliza sasa anaishusha kwa nini kwani alipovaa alitegemea nini? si akae tu hivyo hivyo ili watu wafaidi kuona makalio yake......@$%&^*

Wema, UZURI WAKO UTAONEKANA TU HATA UKIVAA NGUO ZA HESHIMA, jiheshimuu! Mama mkwe wako (mamake Diamond) akiona hiyo picha unadhani atakuonaje? .....kiukweli umewaaibisha wanawake wenzio........

Huko n kukosa HAYA mtu yeyote mwenye haya hawezi kufanya hivyo.Na hii si ajabu akawa na tabia nyingine mbaya zaidi kutokana na kukosa
HAYA msinulize ipi! anaweza hata akawa malaya, kutoheshimu watu wengine kwa sababu mwenyewe HAJIHESHIMU.Mtu kama huyu ni mbaya sana ktk jamii sababu kutokana na umaqarufu wake wasichana wengine ambao ni wajinga watamuiga .....@!%&*VU
 
Uchi ni nini?
Unaanzia wapi unaishia wapi?
Na ni nani aliyesema kuanzia hapa ni uchi na hapa si uchi!
 
Uchi ni nini?
Unaanzia wapi unaishia wapi?
Na ni nani aliyesema kuanzia hapa ni uchi na hapa si uchi!

Acha kuongea maneno ya kipumbavu wewe!! una umri gani hadi usijue uchi? Uchi ni sehemu za mwilli ambazo hazitakiwi kuwekwa wazi...... wewe unaweza kuweka makalio yako wazi mbele za watu au unajibu ushabiki tu? tumia akili acha kujibu kama mtu ambae hajaenda hata shule moja *&&^^%$##
 
Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi mbele za watu but wema katika tamasha la fiesta Morogoro nguo aliyovaa ilikuwa inapanda kiasi cha kufanya sehemu ya chini ya makalio yake ionekane.....ilim'bidi kila mara awe anaishusha hiyo nguo, najiuliza sasa anaishusha kwa nini kwani alipovaa alitegemea nini? si akae tu hivyo hivyo ili watu wafaidi kuona makalio yake......@$%&^*

Wema, UZURI WAKO UTAONEKANA TU HATA UKIVAA NGUO ZA HESHIMA, jiheshimuu! Mama mkwe wako (mamake Diamond) akiona hiyo picha unadhani atakuonaje? .....kiukweli umewaaibisha wanawake wenzio........

Sasa uweke hata link basi ili watu wajue na kuelewa kinachokukera!
Anyway ngoja tukusaidie mkuu!

Kwa nyuma

http://4.bp.blogspot.com/-aO4LkBRmvdc/ThDzIPVF2II/AAAAAAAAjtI/Ht_Q-AQ877k/s640/25.jpg

Kwa mbele!

http://2.bp.blogspot.com/-Gx3k57KNWak/ThgoTzJAD3I/AAAAAAAAAUA/wswT0zojHCQ/s1600/28.jpg
 
Wema Sepeku Vs Bhoke of BBA!

The shame of Tanzania!

Imagine Wema Sepeku angekwenda BBA???!!


Just thinking aloud!
 
Back
Top Bottom