Amejiaibisha yeye mwenyewe na wala si wanawake wote kwani makalio ameonyesha ya wanawake wote? Si yake tu.Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi mbele za watu but wema katika tamasha la fiesta Morogoro nguo aliyovaa ilikuwa inapanda kiasi cha kufanya sehemu ya chini ya makalio yake ionekane.....ilim'bidi kila mara awe anaishusha hiyo nguo, najiuliza sasa anaishusha kwa nini kwani alipovaa alitegemea nini? si akae tu hivyo hivyo ili watu wafaidi kuona makalio yake......@$%&^*Wema, UZURI WAKO UTAONEKANA TU HATA UKIVAA NGUO ZA HESHIMA, jiheshimuu! Mama mkwe wako (mamake Diamond) akiona hiyo picha unadhani atakuonaje? .....kiukweli umewaaibisha wanawake wenzio........
Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi mbele za watu but wema katika tamasha la fiesta Morogoro nguo aliyovaa ilikuwa inapanda kiasi cha kufanya sehemu ya chini ya makalio yake ionekane.....ilim'bidi kila mara awe anaishusha hiyo nguo, najiuliza sasa anaishusha kwa nini kwani alipovaa alitegemea nini? si akae tu hivyo hivyo ili watu wafaidi kuona makalio yake......@$%&^*
Wema, UZURI WAKO UTAONEKANA TU HATA UKIVAA NGUO ZA HESHIMA, jiheshimuu! Mama mkwe wako (mamake Diamond) akiona hiyo picha unadhani atakuonaje? .....kiukweli umewaaibisha wanawake wenzio........
wema hajakosea chochote nyie kwani mkioga mnakuwa mmevaa minguo yenu??????????????????
vijiba vya roho vitawaua
tupe picha.siyo wema peke yake, ivi wanenguaji wa bendi hamuwaoni? mamiss hamuwaoni, wasanii wa filamu hamuwaoni, jamani taifa letu limekosa kitengo cha ukemeaji? mimi nawasiwasi na BASATA kuwa wale viongozi watakuwa hawajatulia ndio maana wanapenda wanenguaji wakae uchi, sasa imefikia hatua wanakaa uchi wala hakuna anayekemea,si TAMWA wala TGNP hakuna anayekema udhalilishwaji wa mwanamke unaofanyika kila kukicha, na matokeo yake wamekuwa vinara wa kuzungumzia siasa. wananikera mimi hawa waliojipa dhima hii wanapouza sura kwenye vyombo vya habari na wakati masula nyeti ya kumomonyoka kwa maadili ktk jamii yetu hawaifanyi. kwa ufupi inakera. tunahitaji serikali itoe tamko ili sisi wenyewe wananchi tuwashughulikie
aibu yao wenyeweAibu yao aibu yetu?.........:dance:
Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi mbele za watu but wema katika tamasha la fiesta Morogoro nguo aliyovaa ilikuwa inapanda kiasi cha kufanya sehemu ya chini ya makalio yake ionekane.....ilim'bidi kila mara awe anaishusha hiyo nguo, najiuliza sasa anaishusha kwa nini kwani alipovaa alitegemea nini? si akae tu hivyo hivyo ili watu wafaidi kuona makalio yake......@$%&^*
Wema, UZURI WAKO UTAONEKANA TU HATA UKIVAA NGUO ZA HESHIMA, jiheshimuu! Mama mkwe wako (mamake Diamond) akiona hiyo picha unadhani atakuonaje? .....kiukweli umewaaibisha wanawake wenzio........