Wema Sepetu - Hivi uzuri ni kukaa uchi mbele ya kadamnasi????

Amejiaibisha yeye mwenyewe na wala si wanawake wote kwani makalio ameonyesha ya wanawake wote? Si yake tu.
 
tunahisi kukaa waz ni unjanja cku hiz so unakuja kuzoea tu msijal
 

Hayo maeneo akiyafunika na nguo huwa anawashwa, ndio maana anayaacha wazi.
 
wema hajakosea chochote nyie kwani mkioga mnakuwa mmevaa minguo yenu??????????????????
vijiba vya roho vitawaua

Wewe yaelekea ndo wale wale.... unauliza swali kama **** vile, ***** kweli wewe!! Pale stejini ni bafuni? alikuwa anaoga pale? na kama ni kuoga huwa tunaoga kwenye public?............una elimu gani wewe, yaweza kuwa nalumbana na std 7 leaver hapa..... kama huna ishu sio lazima uandike potezea kuliko kuandika utumbo kama huo
 
What is in somebody's mind is revealed through his or her actions or omissions....you can guess what she is looking after !!
 
tupe picha.
 
kuna na kina pedejee fulani
hawez kuwa ameishia kwa hao tuu
kunawale wanaogonga ngozi kimyakimya
hawataki maiwaifu zao wajue loool



=Bobsambeke III;2215743]Kekundu kendu wajinga ndio waliwao!!!! Nzega mwambie huyo Diamond....

Mr.Blue,TID,Hartman,Kanumba,Jumbe,chalz baba,Diamond???????? Guess what??????[/QUOTE]
 
Kama wema mnamwita mzuri , demu wangu mkimwona cjui mtamwitaje..bahati yenu hatupendi ku-show off
 
Wana JF kizuri cha jiuza,kibaya chajitembeza! Hayo ni maneno ya wahenga. Mwenzenu Sepeto Wama alikuwa kazini.
 

mimi naona siku hizi wehu si lazima waokote makopo na huyo UBAYA wala si WEMA ni mwehu aletwe huku milembe maana kakosa staha kama binti, atakae jitolea kumleta asimsahau COOPER wala si DIAMOND maana nae mwehu tu.... wanatia kinyaaa sijui tatizo shule au malezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…