Wema ni hakiba

Wema ni hakiba

Yes Duniani tunatakiwa kuwa wema na kuwashika mkono wahitaji.Binafsi nikiwa sawa nitawashika mkono vijana wa chuo wanaokwamba ada.

Ujumbe mzuri Ila hiyo picha tumepigwa ni picha mbili zenye watu tofauti.

Hiyo video pia hapo kwenye mwaka 2020 napo tumepigwa.
This viral image is often shared as a testament to the lasting bond between adoptive parents and their children.
 
labda ni kweli lakini mbona picha ya mdada akiwa kambeba mzee kama imepikwa
 
Hapana sio fala bali anafanya ibada moja kubwa sana!
Too much friendly can ruin your life ....In this unfair world sio kila tatzo unatakiwa ulibebe utajichosha bure na kupoteza focus zako...

Myles munroe anasema hatupo duniani kwa ajili ya kusaidia matatizo ya watu yasiyoisha.
 
Too much friendly can ruin your life ....In this unfair world sio kila tatzo unatakiwa ulibebe utajichosha bure na kupoteza focus zako...

Myles munroe anasema hatupo duniani kwa ajili ya kusaidia matatizo ya watu yasiyoisha.
Toa kwa usahihi, mahali sahihi
 
Back
Top Bottom