ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,740
- 42,167
- Thread starter
- #181
Hii sio mbayaNimeamka vizuri tuu ghafla naambiwa mtoto kachana begi la shule elf 15 paaap
Hii sio mbayaNimeamka vizuri tuu ghafla naambiwa mtoto kachana begi la shule elf 15 paaap
Duh na nje ya hapa jukwaani hatuna mawasilianoMara ya mwisho alisema anaumwa 🥹
Ngoja tusubiri akikaa sawa atarudiDuh na nje ya hapa jukwaani hatuna mawasiliano
AmenNgoja tusubiri akikaa sawa atarudi
Sijui tunafanyaje baby girl 🤗Tunafanyeje sasa?
Nililala. 🫣
Imekuaje tena 😅😅🤣 mbona macho yameivaWeekend bado mbichi ila man u itaua
Mi nilikuwa job leo hivyo labda jioni hii ndio nianze weekend,
Siendi popote nipo zangu ndani nasilkiliza mziki ila nina vibe kama hiviMi nilikuwa job leo hivyo labda jioni hii ndio nianze weekend,
Vipi unataka twende wapi 😎
Hongera sana 😊Weekend imebamba sana, familia ina afya njema na furaha . Kwakweli malaika aliyekuwa zamu wiki hii Nampa maua yake.
Unaandaa zako playlist za music na movie unakaa ndaniSiendi popote nipo zangu ndani nasilkiliza mziki ila nina vibe kama hivi
Yes ila ujue mimi sipendi movie hata nikijilazimisha mi nisome some sehemu huku nasikiliza music hivyo yaanUnaandaa zako playlist za music na movie unakaa ndani
Kwa nini hupendi movie, unachokaa kukaa muda mrefu unaangalia auYes ila ujue mimi sipendi movie hata nikijilazimisha mi nisome some sehemu huku nasikiliza music hivyo yaan
Sipendi movie tena bora zamani saivi ndiyo kabisaKwa nini hupendi movie, unachokaa kukaa muda mrefu unaangalia au
Duh! Mi napenda movie vibaya mno 😁 kila weekend lazima nicheki kama sio moja basi mbili, na najaribu kucheki season kila siku jioni episode moja walauSipendi movie tena bora zamani saivi ndiyo kabisa
Wala shida sio kukaa mbona nakaa muda mrefu nikiwa nasoma nadhani sivutiwi tu
Yooo mi siwezi hapa naongea na wewe sikumbuki lini niliwasha TV kwa ajili ya movie mimi ni Music tu 😂😂Duh! Mi napenda movie vibaya mno 😁 kila weekend lazima nicheki kama sio moja basi mbili, na najaribu kucheki season kila siku jioni episode moja walau