The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,059
Team mtunga hadithi, teh
Hill team baabkubwa unaangukia upande wowote. Wenzio tumenunua had I membership card za team Harry. Join us please.
Team mtunga hadithi, teh
Najiweka kwa herry,ananikosha huyu jamaa
Yani kama namuona vile...Nilifikiria unaniangusha, Harry mpango mzima.
Aaahhaahaahhaah mi team neutral nisije kulia bure badae
Ahahahhaahaha we team zinauma ujueNa kukesha kooote usiku unashindwa kuchagua team? Njoo kwa Harry upesi.
Yani kama namuona vile...
Ahahahhaahaha we team zinauma ujue
Upo sahihi sana mrembo lara 1 binafsi sipendi mtu anayetabiri story nakumbuka nilikuwa nagombana na jamaa zangu tukiwa tunaangalia picha hlf anajitokeza mjuaji mmoja kutabiri nini kitatokea basi najikuta stimu za kuendelea kuifuatilia hiyo movie inakata kbsHAHAHAAAAA! Nenda tu kwa mganga akurudishie kuku zako, kila unachotabiri holaaaaa. Unatamani unitupe mstuni uje uimalizie wewe hii story. Hahahaaaa! Au uimalizie unavotaka kivhwani mwako.
Unavohangaika kutabiri mpaka unani shawishi nichachue story na kupindishaaa mstari nikupe hata kautabiri kamojaaaa. Hahahaaaa. Seriously acheni kutabiri manake zitaibuka kambi hapa kna tema kama Walter vs Collins. Hahaaa afu mwosho mnanipa kigugumizi kumalizia maana vovote naonekana nimepokea rushwaaa.
Kama safari Harry yupo chalinze Gill ndo kwanza anapunga upepo white sandsHahahahahahahahaha harry kwa Gill kachelewa sanaaaaa
Upo sahihi sana mrembo lara 1 binafsi sipendi mtu anayetabiri story nakumbuka nilikuwa nagombana na jamaa zangu tukiwa tunaangalia picha hlf anajitokeza mjuaji mmoja kutabiri nini kitatokea basi najikuta stimu za kuendelea kuifuatilia hiyo movie inakata kbs
Kofi la mpenzi haliumizi,basi mamii si tayari umeisha revenge?,maana huo msonyo sio mchezo yaani umeniingia mpaka rohoni halafu hayo matusi ya Kidigitali ndio umemaliza kabisa,anyway vipi mambo kwa ujumla,poza roho mamii.Lara 1 kaisha sema kiutu uzima au vipi?,hebu jaribu kumpa heshima zake mamii.Mxxxxuuuuuùuuuuuu. Hebu usiharibu thread maana ndio kipaji chako. Nimesoma post zako hapo juu, nimenyamaza kuheshimu thread. Nakusare tuu #$#@$$/&&*^/$#@@@///$$#@@!
Yaani mdogo mdogo tena kwa upoooooooooooole,mimi nataka unikumbatie kidigitali au tufanye cyber sex,maana karne hii lazima kijulikane tu.Mxxxxuuuuuùuuuuuu. Hebu usiharibu thread maana ndio kipaji chako. Nimesoma post zako hapo juu, nimenyamaza kuheshimu thread. Nakusare tuu #$#@$$/&&*^/$#@@@///$$#@@!
Sister Lara 1kaunganisha dots toka siku nyingi,ila tu wewe umeweka hasira mbele,jitahidi upoze roho ndio utaiona picha inavyojitokeza,any way we mamii tayari umependwa na wewe ukapenda,sasa jitulize kama kasuku basi au vipi?Hahahaaa, umepotea kweli! Pole sana. Lara1, msome huyu anayeomba kukuona, akushike mkono.
TEAM HARRY
Sister Lara 1kaunganisha dots toka siku nyingi,ila tu wewe umeweka hasira mbele,jitahidi upoze roho ndio utaiona picha inavyojitokeza,any way we mamii tayari umependwa na wewe ukapenda,sasa jitulize kama kasuku basi au vipi?
Yani kama namuona vile...
Heee! Shida ni gani tena my shem?Shem'ake leo nimecharuliwaje? Kweli wanawake wa Kimarangu sio wa kuoa...wanafaa kuwa nyumba ndogo tu kama Stacy!