Weekend Story! The Workaholics Silence

Weekend Story! The Workaholics Silence

Mxxxxuuuu. We mtoto uwe na adabu, naongea na babako. Enjoy the ignore.

Jamani wanawake na wasichana MMU kaeni mbali ma wajalaana waliochanjiwa mtongoza badala ya mdinar, bora walionjanjiwa mpaundi ingawa unashuka thamani si haba si sawa na kukosa!
Halafu bibie bora nimekuona
 
Heee! Shida ni gani tena my shem?
Kuna binti mmoja ambaye tulikuwa na appointment ya kikazi saa saba mchana ila akai cancel juu kwa juu bila kutoa taarifa,nilipomuuliza kulikoni,katapika maneno hadi nahisi bundle lake limeisha... kwa kweli siku yangu ilitaka kuvurugika ila nimechagua kusamehe ndo nahisi strength yangu imejikita hapo baada ya kusamehe!
 
Kuna binti mmoja ambaye tulikuwa na appointment ya kikazi saa saba mchana ila akai cancel juu kwa juu bila kutoa taarifa,nilipomuuliza kulikoni,katapika maneno hadi nahisi bundle lake limeisha... kwa kweli siku yangu ilitaka kuvurugika ila nimechagua kusamehe ndo nahisi strength yangu imejikita hapo baada ya kusamehe!
Sasa why akurapie hivo na kosa ni la kwake?
 
ujaji wa Mathew nyumbani kwa GILL nakutazama kwa jicho la tatu.. Naamini Mathew yupo pale kwa mpango maulum. Daima Gill ni kama Joram Kiango ama Willy Gamba. Anambinu kali na za kusisimua. Tracy bado anaonekana nikama mwanamke
bendera asiyejua ni upi uelekeo wake. Harry bado ni mpiganaji lakini anakosa utulivu.wakati mwingine anafanya vitu kumkomoa Gill bila kujua athari zake. Lakini mwisho wa siku umefanikiwa kuuchukua muda wangu Lala 1
 
Lara mpenzi,naona hata aibu kusoma hii story yako.
Subiri nikamilishe zile mambo PM kisha nitarejea kuburudika.
 
Mxxxxuuuu. We mtoto uwe na adabu, naongea na babako. Enjoy the ignore.

Jamani wanawake na wasichana MMU kaeni mbali na wajalaana waliochanjiwa mtongoza badala ya mdinar, bora waliochanjiwa mpaundi ingawa unashuka thamani si haba si sawa na kukosa!
Daah basi tena hapa sipati kitu,yaani utakuwa umenipita umri,na hiyo Mdinar na Mpaundi bado sijaelewa mamii,yaani unamanisha pound inashuka thamani?
 
Mxxxxuuuu. We mtoto uwe na adabu, naongea na babako. Enjoy the ignore.

Jamani wanawake na wasichana MMU kaeni mbali na wajalaana waliochanjiwa mtongoza badala ya mdinar, bora waliochanjiwa mpaundi ingawa unashuka thamani si haba si sawa na kukosa!
Sasa chagua basi,unataka Dinar au Pounds mamii.
 
Instagram follow me on lara1jfstories for collection of my stories....wakuu wakati tunafaidi huu ''utamu"' wa story za lara 1" hapa Jf ...Naombeni sana.....tumfollow na huko Insta..turahisishe upatikanaji wa ''utamu wa lara 1 na vilevile itakuwa tumemuunga mkono......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom