Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Kuna kiumbe alikua anaitwa Walter timbwili lake lilikua halifai. Hii ni kwa wale wasomaji full time sio day scholars wa kutwa....

Lol wolter si yule mafia jambazi sugu mtaa mzima ulikua unamuamkiaaa hata yupo mbaliiiii teh kina Harris Gill stancy Tracy the gay haha Hidaya wa yanga damdam mjedaaa lol iqra mwarabuuu

Sisi drunkards wa story za lara ndo tunawajua wahusika
 
Lol wolter si yule mafia jambazi mtaa mzima ulikua unamuamkiaaa hata yupo mbaliiiii teh kina Harris Gill stancy Tracy the gay haha Hidaya wa yanga damdam mjedaaa lol iqra mwarabuuu

Sisi drunkards wa story za lara ndo tunawajua wahusika
Hatar
 
Lol wolter si yule mafia jambazi sugu mtaa mzima ulikua unamuamkiaaa hata yupo mbaliiiii teh kina Harris Gill stancy Tracy the gay haha Hidaya wa yanga damdam mjedaaa lol iqra mwarabuuu

Sisi drunkards wa story za lara ndo tunawajua wahusika

Members wa kudumu baraza la sanaaa utawajua Tu. Harris alikua anampeleka Stacy Siza arudi shule. Tena kuna siku alimtwanga za chembe moyo huku dada wa watu anawafadhili...kuna njemba inaitwa Osokoni haujaitaja. Guberi la free P
 
Members wa kudumu baraza la sanaaa utawajua Tu. Harris alikua anampeleka Stacy Siza arudi shule. Tena kuna siku alimtwanga za chembe moyo huku dada wa watu anawafadhili...kuna njemba inaitwa Osokoni haujaitaja. Guberi la free P

Tehtehteh the return of osokoni lol
Harris masikini jeuri yule
Alinifurahisha ile siku alipomchezea akili G kwa kujificha kwenye maua badae karudii


Kuna ileee moja kitambo sana ya kubwa lao kumtoa kigori wa watu kimasomaso bikra wawatu kutafutiwa vichwa lol lara hafai hata kwa kulumangia
 
Hahahaha! Nimemkumbuka, mjeda, mangi aliemfanyia mauaji nan yule kule zanzibar na yule muhaya alelipa mahali yote ikabidi arudishiwe chenji, oooh! Lara 1 uishi miaka mingi, ila story ila story iliyonisikitisha ni ya fr alivyokufa
 
Hahahaha! Nimemkumbuka, mjeda, mangi aliemfanyia mauaji nan yule kule zanzibar na yule muhaya alelipa mahali yote ikabidi arudishiwe chenji, oooh! Lara 1 uishi miaka mingi, ila story ila story iliyonisikitisha ni ya fr alivyokufa

Ila mjeda alikua na majaribu jamani khaah inahitaji moyo hata kama ni kupimana imani

Hahaha muhaya alikua noumaaaaa
Hidaya alilala na maiti pekeangu ndani hahaha
Eti mjeda anamtisha uwiii

Kina Sydney amar jamani Lara1 kiboko yao
Saliut
 
Tehtehteh the return of osokoni lol
Harris masikini jeuri yule
Alinifurahisha ile siku alipomchezea akili G kwa kujificha kwenye maua badae karudii


Kuna ileee moja kitambo sana ya kubwa lao kumtoa kigori wa watu kimasomaso bikra wawatu kutafutiwa vichwa lol lara hafai hata kwa kulumangia

Huyu lara 1 Leila mwenyewe hatii mguu. Kama ni mpira anacheza namba zote kuanzia kocha refaree, kamisaa mwamuzi, mshika kipendera hadi wachezaji wa akiba.
 
Huyu lara 1 Leila mwenyewe hatii mguu. Kama ni mpira anacheza namba zote kuanzia kocha refaree, kamisaa mwamuzi, mshika kipendera hadi wachezaji wa akiba.

Hahahaahhahahaahahahahaha lara ni mafia huyu wa kukaa mbali nae ana ukikaa kihasara hasara anakusukumia bichwa la mchana kweupeee najua kali kweli
 
Naomba link ya hiyo mkuu
Lol wolter si yule mafia jambazi sugu mtaa mzima ulikua unamuamkiaaa hata yupo mbaliiiii teh kina Harris Gill stancy Tracy the gay haha Hidaya wa yanga damdam mjedaaa lol iqra mwarabuuu

Sisi drunkards wa story za lara ndo tunawajua wahusika
 
Mh! Hii senema hata hizo popcorn sijui utaingia na mifuko mingapi, manaake. Utamaliza bisi zote movie halijaisha bado....
Acha tusubirie sijui na leo ni mwendo wa miguu ya punda au atatutoa kimaso maso na exclusive rated...acha niwahi kiti cha mbele kabisa
 
Back
Top Bottom