Nacheeeeka!Hatarious. ....
jaman waungwana,tangia juzi nakosa chakucomment humu ndani, maana nakutana na mambo ndivyo sivyo, yaan sipati mpapaso wa moyo hata kidogo,Dee nae nyoko tu maana anaanza kuwa na tabia kama za kina james delicious
Sent using Jamii Forums mobile app
Dee kukaa meza moja na msomali sikutegemeaMpaka hapa tulipofika hata tukimpiga chini Sally sio kesi.
Tushashinda vita ya al-shabab.
Sema wanaume wote baba yetu mmoja, yani Dee kakaa meza moja na Msomali?
- KANA -

kweli maisha hayana formulaHaha he who laughs last....Nacheeeeka!
Mbona leo hujanitagg? Au kwa sababu tumekula muhudumu wa hoteli?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Mpaka hapa tulipofika hata tukimpiga chini Sally sio kesi.
Tushashinda vita ya al-shabab.
Sema wanaume wote baba yetu mmoja, yani Dee kakaa meza moja na Msomali?
- KANA -
Hatuendi Somalia wala ZimbabweMpendwa vipi?umejiandaa kurudi somalia?![]()
siwezi hudumia muda wote bila kujua matokeo ya mwisho yatanifavour vp.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Team msomali tulieni dawa iwaingie vizuri. Mlitunyanyasa sana, ni zamu yetu sasa!
- KANA -




ndugu naomba uniache tu maana hata sijielewi sasa ivi nielekee upande gani ! ila acha tu niwe mvumilivusawa ila laana ya sally haitawaacha salama, nyie chezeni tu na papuchi zetuMpaka hapa tulipofika hata tukimpiga chini Sally sio kesi.
Tushashinda vita ya al-shabab.
Sema wanaume wote baba yetu mmoja, yani Dee kakaa meza moja na Msomali?
- KANA -
sawa ila laana ya sally haitawaacha salama, nyie chezeni tu na papuchi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
chezeni tu na papuchi Hiyo laana mbona haijamkuta msomali? Au inachagua?sawa ila laana ya sally haitawaacha salama, nyie chezeni tu na papuchi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huu ujio wa mdogo wake msomali lazima kuna mtu ataumia!Dee kukaa meza moja na msomali sikutegemeakweli maisha hayana formula
HaswaaaaHaha heshima yako Pendo. Pole sana Dee teh msomali alikuja at the perfect time, no gameee
AliishiaAliishia kuchezea kichapo hahahahaTeh naona mna nyota ya bundi, kila njama inabuma. Teh kumbe siku ile Dee hakula tunda hahahahahahha
Ashukuru alivaa boxerAliishiaAliishia kuchezea kichapo hahahaha