Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ameeeen auntieHaleluyaa, Bwana apewe sifa.
Ameeeen auntieHaleluyaa, Bwana apewe sifa.
Oyeeeeeeeee ,....wapi KANA
Oyeeeeeeeee ,....wapi KANA
Haha nakusalimia sana![]()
![]()
![]()
![]()
Mnafikiri siwaoni?
Napita tu kimya kimya maana sio kwa matusi haya alonifanyia Lara 1.
- KANA -
hahahaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Mnafikiri siwaoni?
Napita tu kimya kimya maana sio kwa matusi haya alonifanyia Lara 1.
- KANA -
nimefurahi toto la kisomali ila huyo baba wa mtoto mwenyewe kanichefua kama niniRafiki naona unashangilia ushindi
Pole ndg yngunimefurahi toto la kisomali ila huyo baba wa mtoto mwenyewe kanichefua kama nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha msingi usikimbie msomali wako akikutana na gobole mlangoni.Nipo mama LA mama nasubiri kwa hamu
Ñasubiri jinsi Msomali atavorudi kwa sally kuomba msamaha cjui atakua na sababu gani......
Mmhh ila Tony anatia hurumaa sema ndo hivyo tena na kibamia chake na sally hawatawezana sally ashazoea mikuyenge ya maana mmhh nkifkiria najikuta na tabasamu tuu
Usikodoe sana msomali kaacha mbegu hiyo mbegu itamrudisha tz na mbali ya hivyo sally amemisi FP. Wengine wapitaji tu.