Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Inawezekana ujue ila msomali Mungu atampiga laana moja hiviiHata sally kukosa Visa nahisi kuna namna sio bure.
Inawezekana ujue ila msomali Mungu atampiga laana moja hiviiHata sally kukosa Visa nahisi kuna namna sio bure.
Haha Mungu sio shunie wala aunt yako espy, msomali ataomba msamaha na macho yatawatokaaInawezekana ujue ila msomali Mungu atampiga laana moja hivii
Teh teh tunaisubilia siku yetu ya kuumbukaHaha Mungu sio shunie wala aunt yako espy, msomali ataomba msamaha na macho yatawatokaa
Heshima kitu cha bure,tafadhal jiheshimu hisia zako si lazima zikafanana na zangu,najheshim na kuheshimu wenzangu!nimekuvumilia Sana.We ******, umetumwa au umetoka kuukatikia?
Rafiki naona unashangilia ushindi
Msomali sio mtu kabisa,bora nibaki na Dee wangu tu na betina lolNdio tatizo la kulea marioo vikipata havikukumbuki kabisa yaan msomali ndio mana toka mwanzo nilikua namchukia
Natamani akutane na jambia mlangoni dadeq zakeNimechefukwa kweli hapa, sijui anajichekesha nini humo. Ila bado nampenda teh, and nahisi kwa habari hii ya mtoto, soon tutamuona kwa Sally![]()
![]()
![]()

si kwa kumkacha sally vileNamuombea msomali apate pigo moja takatifu mfyuuu zake kanikeraaHaha Mungu sio shunie wala aunt yako espy, msomali ataomba msamaha na macho yatawatokaa
Haha sally atamsamehe tu, kashamiss full pictureNatamani akutane na jambia mlangoni dadeq zakesi kwa kumkacha sally vile

#TeamRohoMbaya#Namuombea msomali apate pigo moja takatifu mfyuuu zake kanikeraa
Daah ila acha tu nisiusemee moyo wa sallyHaha sally atamsamehe tu, kashamiss full picture![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaa nakaribia kuwa mwenyekiti#TeamRohoMbaya#
Mkuu usiquote pos ndefu namna hii, ni shida kwa tunaotumia simu!Shimo limetema,Somalia woyooooh!
Dua hazimpati kabisa msomali,hahukumiwi coz hajaacha mimba kwa makusudi ila kwa bahati mbayaNamuombea msomali apate pigo moja takatifu mfyuuu zake kanikeraa
natafuta mrembo wa kumpelekea full picture Team Dee forever ila lazima nimtetee msomali![]()
![]()
![]()
natafuta mrembo wa kumpelekea full picture
Sent using Jamii Forums mobile app



lol!