Inabidi tuokoke tu baba yeyoo hakuna namnaSasa hivi tumeshaambiwa team kuokoka tu! Mama yeyoo, si naona hata ile kubwa la maadaui nasema tumsifu mwokozi naacha kabisa ile mambo mbofmbof?
Lara Unafunga Saa Ngapi Ofisi Zako Za TUNAKOPESHA LIMITED Na Uyo Mpemba Wako.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Inabidi tuokoke tu baba yeyoo hakuna namna



wow, i love the new Lara 1,God is good
Ndo ukinukishe sasa ivi.Jamaniiiii! Muwe waelewaaa tu, mimi ni miandishi wa kujitegemea sasa mda mwingine kujitegemea ndo kunakuwa kama hiviiii. Mda si mda Naleta mambooo!
Kuweni wapoleeee, dude la sahiviii ni kama DAYS OF OUR LIVES labda litaisha December kwa mapenzi ya Mungu.
Jamaniiiii! Muwe waelewaaa tu, mimi ni miandishi wa kujitegemea sasa mda mwingine kujitegemea ndo kunakuwa kama hiviiii. Mda si mda Naleta mambooo!
Kuweni wapoleeee, dude la sahiviii ni kama DAYS OF OUR LIVES labda litaisha December kwa mapenzi ya Mungu.
Hapana Mimi Mwanaume,Siwezi Kuwa Huko Tunakopesha Papa Ltd. Heheheheh. Huko Ni Kwa Dada Lara1 Na Employee Wake Mpemba!!Nimetaarifiwa kwamba wewe ndio CEO, General Manager, Founder, Owner, Executive Director, Chief of staff wa Tunakopesha Ltd
Lara 1, inasemekana hauna roho mtakatifu.Jamaniiiii! Muwe waelewaaa tu, mimi ni miandishi wa kujitegemea sasa mda mwingine kujitegemea ndo kunakuwa kama hiviiii. Mda si mda Naleta mambooo!
Kuweni wapoleeee, dude la sahiviii ni kama DAYS OF OUR LIVES labda litaisha December kwa mapenzi ya Mungu.
Yes I am,asante barikiwa piaMuombee aendelee kubaki kwa Bwana...wewe umeyasalimisha maisha yako kwa Kristo?
Barikiwa sana!
Hapana Mimi Mwanaume,Siwezi Kuwa Huko Tunakopesha Papa Ltd. Heheheheh. Huko Ni Kwa Dada Lara1 Na Employee Wake Mpemba!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika Neno La Bwana Limemuingia Na Amejua Kuwa Kukopesha Kwa Riba Kubwa Ni Dhambi. Hivyo Amemkopesha Bro KirohosafiAaaaah! Mtake radhi mtumishi wa Mungu, toka hajampikea Mwokozi alikua hakopeshi wala freee, iweje leo umtuhumu ilihali ameshamkana ibilisi na kazi zake zote?
Ila mpemba nae anachangamoto yule!
Lara 1, inasemekana hauna roho mtakatifu.
Eti hapo kanisani wewe una roho mtaka kitu!
- KANA -